ommy15
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 674
- 1,017
Habari wanabodi. Kabla sijafika mbaki napenda kuwashukuru wote mliotoa michango yenu kuhusu manunuzi kwa njia ya mtandao. Kweli mimi binafsi nimefaidika sana na michango na nyuzi zenu Mungu awabariki wote.
Lengo la uzi huu ni kwamba nilinunua hand bag china kupitia ebay ambayo kwa track number inaonesha umefika Tanzania siku zaid ya 20 zilizopita na nikienda posta wanasema haujafika hapo ndio nashindwa kuelewa kwamba utakuwa wapi na hapo nililipia na usafiri kwani free shipping ndio inachelewa sana.
Pia kwa wale ambao bado hatujaweza kununua vitu kwanjia ya mtandao kusema kweli ni nzuri na bei ni nzuri sema shida ndogo ndogo zipo hasa kuchelewa mzigo wako,kutotumwa kabisa ila hapa nashukuru Paypal wako fasta kwenye kurejesha fedha coz nimerudishiwa zaid ya mara mbili mwanzo nilinunua viatu na nguo na havikutumwa nikadai na hela ilirudi. Na nmenunua vitu vingi bei nzuri mfano saa za dola 5 huko nje huku kwetu bei yake ni zaid hata ya mara 3.
Asanteni
Lengo la uzi huu ni kwamba nilinunua hand bag china kupitia ebay ambayo kwa track number inaonesha umefika Tanzania siku zaid ya 20 zilizopita na nikienda posta wanasema haujafika hapo ndio nashindwa kuelewa kwamba utakuwa wapi na hapo nililipia na usafiri kwani free shipping ndio inachelewa sana.
Pia kwa wale ambao bado hatujaweza kununua vitu kwanjia ya mtandao kusema kweli ni nzuri na bei ni nzuri sema shida ndogo ndogo zipo hasa kuchelewa mzigo wako,kutotumwa kabisa ila hapa nashukuru Paypal wako fasta kwenye kurejesha fedha coz nimerudishiwa zaid ya mara mbili mwanzo nilinunua viatu na nguo na havikutumwa nikadai na hela ilirudi. Na nmenunua vitu vingi bei nzuri mfano saa za dola 5 huko nje huku kwetu bei yake ni zaid hata ya mara 3.
Asanteni