Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,074
Kama mtu aliyekulia nje na mwenye nia ya kuboresha Kiswahili changu, si nikaamua ninunue novels za Kiswahili ili zinisaidie.
Yaani nimefungua tu ukurasa wa kwanza nikakutana na hilo neno hapo juu "TAFADHARI".
Hivi muandishi mzima uliyeenda shule unaweza kukosea lugha kiasi hicho. Uandishi wa namna hii ni janga kwa taifa letu na unatakiwa kupigwa vita naona watu wengi mno ni wahanga.
ELIMU ELIMU ELIMU.
Hapa niko njiani naenda kurudisha mtabu wao!
Yaani nimefungua tu ukurasa wa kwanza nikakutana na hilo neno hapo juu "TAFADHARI".
Hivi muandishi mzima uliyeenda shule unaweza kukosea lugha kiasi hicho. Uandishi wa namna hii ni janga kwa taifa letu na unatakiwa kupigwa vita naona watu wengi mno ni wahanga.
ELIMU ELIMU ELIMU.
Hapa niko njiani naenda kurudisha mtabu wao!