Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Nashangaa tu izo bei coz TZ tuna nishati kibao umeme like maji shouldn't be expensive kabisaWew ulikuwa na madeni yako,
Ila mkuu, unataka bei za 2006 zitumike leo? Miaka 20 mbele? Like seriously? Wakati huo kiatu kikali kilikuwa 10k, leo hii 50k
Mkuu tatizo pesa yetu imekosa thamani ndo maana bei imepanda kwa kila kitu, Michele mzuri ni 3400 miaka 15 nyuma ulikua shilling 700 tu.Nimetoka kununua luku ya elf 5 nimepata units 9.8 seriously? TZ bora ibinafsishwe tu yote tuendeshwe na watu wenye akili. I remember kw 2006 uko when umeme wa elf kumi was 68 units na kadi zile za kudumbukiza Km ATM. Imagine now Yaani tutafika elf kumi unit 5 tu if not 1.
Wanaandaa mchongo wa kubinafsisha TANESCONimetoka kununua luku ya elf 5 nimepata units 9.8 seriously? TZ bora ibinafsishwe tu yote tuendeshwe na watu wenye akili. I remember kw 2006 uko when umeme wa elf kumi was 68 units na kadi zile za kudumbukiza Km ATM. Imagine now Yaani tutafika elf kumi unit 5 tu if not 1.
Kodi ya jengo every month mkuuMimi nimenunua umeme wa 3,000 nikapewa unit 2.
🤣🤣 Kwa Zanzibar Tukuza 5k-16 units, 10k - 32 units.Mimi nimenunua 3000 nimepata unit 12 nipo Zanzibar [emoji1732]
Sina mambo mengi natumia taa charge na tv only[emoji1787][emoji1787] Kwa Zanzibar Tukuza 5k-16 units, 10k - 32 units.
Hongera kwa kubahatika kama ni kweli
Mshahara wa mwalimu anaeanza kazi 2006 ulikuwa shingapi? Na Sasa ni shingapi?Wew ulikuwa na madeni yako,
Ila mkuu, unataka bei za 2006 zitumike leo? Miaka 20 mbele? Like seriously? Wakati huo kiatu kikali kilikuwa 10k, leo hii 50k
Hio nishati iko wapi wakati umeme tulionao haututoshi migao daily,Nashangaa tu izo bei coz TZ tuna nishati kibao umeme like maji shouldn't be expensive kabisa
sawa mama, ukiweza nunua mwingi kabisa, bahat haiji mara 10Sina mambo mengi natumia taa charge na tv only
Kwa Zanzibar nzima umeme wa 5000 unapata unit 8.3 mwanzoni mwa mwez na ukishakatwa charges zao basi ni unit 16.1sawa mama, ukiweza nunua mwingi kabisa, bahat haiji mara 10