Nimenusurika kuambukizwa HIV na mwanachuo wa miaka 24 ambaye yupo kwenye mission ya kulipiza kisasi

Wanasema usipige mswaki dk chache kabla na baada ya kunyona nyonyana.
Ni sahihi kabisa. Kwa sababu gani?

Miswaki ina tabia ya kuchua ulimi na hata fizi. Sasa endapo ukinyonyana na mwathirika, basi kuna urahisi wa kuambukizwa.

Virusi vinapata upenyo kutokana na mchubuko ulioupata na hatimaye maambukizi.
 
Ushubwada vyoooote umefanya mda huo huo tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa hilo wowowo alivyolisusa khaaaa [emoji119][emoji119][emoji119] si countrywide huyu
Nilikuwa nimelala ila ghafla nikaamka nikahisi tu cute wife kuna sehemu atakua ananisema. Kumbe kweli

Wewe hutakaa uje upate tako kama hilo, hapo unawaonea wivu mno hao wadada
 
Nilikuwa nimelala ila ghafla nikaamka nikahisi tu cute wife kuna sehemu atakua ananisema. Kumbe kweli

Wewe hutakaa uje upate tako kama hilo, hapo unawaonea wivu mno hao wadada

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] utakabwa na vibwengo ndotoni

Mwenzio nina tako sema silipendi nataka nikafanye surgery lipungue sipendi kubebelea vitu ukipita unapigiwa miluzi
 
Umedanganya, hicho kipimo ni kimoja na ndio maana specifications zake ni zilezile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…