Nimenusurika kuambukizwa HIV na mwanachuo wa miaka 24 ambaye yupo kwenye mission ya kulipiza kisasi

Nimenusurika kuambukizwa HIV na mwanachuo wa miaka 24 ambaye yupo kwenye mission ya kulipiza kisasi

Huyu binti nilifahamiana naye kupitia mtandao wa LinkedIn akiwa anatafuta field. Baada ya muda tukawa tunachati kwa karibu na hatimaye mahusiano.

Kwangu mwanamke yeyote akija kimapenzi lazima kwanza tupime. Yaani ukiingia tu mlangoni unakutana na 'pharmacy' yangu, unapima ndipo uingie.

Binti kafika pale na ndio ilikuwa mara ya kwanza kabisa kumuona. Awali kwa siku kadhaa alikuwa anakataa kuja home akitaka tukutane sehemu nyingine. Nilipokubali akajifanya amebadilisha kwamba ananiamini hivyo atakuja tu home.

Nikamwambia haya tupime akaanza kujizungusha akasema tukae tu tuangalie movie. Kwenye maongezi yetu siku za nyuma alisema alipima mwaka uliopita na yuko poa.

Basi nikasema isiwe kesi, kaa hapo. Kumbe mpango wake ni kuninasa nimle baadae akishanitega. Tumekaa pale kama saa zima kisha nikaanza kumgusa. Nikaona na yeye anakubali. Taratibu tukaendelea kushikana na mwishowe nguo tushazitoa.

Hapo sasa nikamwambia kwasababu tupo ready hebu tupime kisha tuendelee ndipo binti kashtuka na kukataa. Nikamwambia unaniamini niingie hivyo hivyo akasema 'wewe tu'.

Hapo niliamka faster nikawahi bafuni kuoga kwa dettol na kupiga mswaki. Tayari nilikuwa nimeshamshika sana na alikuwa ametoka kumaliza period. Nilikuwa nishafanya romance zote mpaka kunyonya maziwa.

Nikarudi pale na kumwambia avae na kuondoka. Hapo faster nikamcheki jamaa yangu daktari anipatie pep nianze dozi ya haraka. Nimekunywa vidonge siku 28 na nilikamilisha wiki mbili zilizopita.

Sasa bwana yule binti akaanza kunitafuta baada ya siku tatu akijifanya anajutia. Akawa anaandika kwamba alichofanya ni Mungu tu anayeweza kumwelewa. Nikasema ni kitu gani? Akasema akiniona ataniambia.

Kumbe anajua yakipita masaa 72 unakuwa umeupata hivyo hata pep hazifanyi kazi. Anakutafuta ili ujue kwamba amekuambukiza. Alionesha kushtuka na kuwa disappointed baada ya kumuonesha kopo la pep.

Basi nikamwambia tuonane mahali na kweli akaja. Akaniambia yeye ni muathirika na aliambukizwa miaka minne iliyopita. Pia akasema yeye kwa sasa mwanaume yeyote atakayemtongoza anakubali kulala naye. Anasema aliambukizwa kwa makusudi hivyo naye lazima alipize kisasi.

Huyu binti alitokea huko kanda ya ziwa na alikuja Dar kusoma kuanzia certificate na sasa yupo mwaka wa tatu degree. Anatoka familia masikini hivyo alipofika Dar maisha yakawa magumu akajirahisisha kwa wanaume.

Ndugu zangu kuweni makini sana maana yupo anatembea kila kiwanja kuusambaza. Jina lake linaanzia na G na linaishia na A.

Nimepima vipimo viwili kwa mpigo niko poa. Picha hapa chini.

View attachment 2639760
We Jamaa ina Maana hukutumia kinga?.
 
Hivi dettol si anti bacterial? Ama inaua na virus?

Anyway, huyo anapaswa kuwajibishwa kwa kosa la kuambukiza Ugonjwa kimakusudi.

Nakushauri umripoti katika kituo cha afya kitengo cha CTC, watajua namna ya kumuwajibisha.

Wewe umepona, je ni wangapi wataugua? Wengi. Inaweza isikupate wewe, ila makusudi yake ikampata baba yako au nduguyo wa karibu na mwishowe zigo litakuangukia pia kwa namna moja ama nyingine.
Kweli aisee huyo manzi anachofanya sio kitu kizuri.
 
Unatuaibisha wanaume futa huu uzi wanaume siku hizi tunaogopa kisukari, presha, kansa siyo ukimwi maaana RV si zipo unaogopaje ukimwi
 
Mleta mada mjinga sana tena pumbavu.Hii story kama chai tuu. Hata hivyo Badala ya kumdhalilisha hapa mtoto wa watu ungetumia tuu kondomu umuache mtoto wa watu. Mimi niliishi na binti mwenye HIV 3 years 2008-2011 na sijapata ukimwi mpaka leo nna 48 years.
Usijione mjanja UTAKUFA TUU TENA KIJINGA ZAIDI..
 
Huyu ni muongo, hakuna daktari atakushauri utumie pep kama hujafanya mapenzi..,sasa wewe umeshika tu nakula mate, hizo njia mtu hawezi katu kupata ukimwi, swali kwa nini ulitumia pep!? Lazima unaficha jambo, broo ulimla huyo demu tena kavu, mimi yalishanitokea hayo na leo ni wiki ya sita toka nimeuza mechi tena kwa mwathirika
 
Huyu binti nilifahamiana naye kupitia mtandao wa LinkedIn akiwa anatafuta field. Baada ya muda tukawa tunachati kwa karibu na hatimaye mahusiano.

Kwangu mwanamke yeyote akija kimapenzi lazima kwanza tupime. Yaani ukiingia tu mlangoni unakutana na 'pharmacy' yangu, unapima ndipo uingie.

Binti kafika pale na ndio ilikuwa mara ya kwanza kabisa kumuona. Awali kwa siku kadhaa alikuwa anakataa kuja home akitaka tukutane sehemu nyingine. Nilipokubali akajifanya amebadilisha kwamba ananiamini hivyo atakuja tu home.

Nikamwambia haya tupime akaanza kujizungusha akasema tukae tu tuangalie movie. Kwenye maongezi yetu siku za nyuma alisema alipima mwaka uliopita na yuko poa.

Basi nikasema isiwe kesi, kaa hapo. Kumbe mpango wake ni kuninasa nimle baadae akishanitega. Tumekaa pale kama saa zima kisha nikaanza kumgusa. Nikaona na yeye anakubali. Taratibu tukaendelea kushikana na mwishowe nguo tushazitoa.

Hapo sasa nikamwambia kwasababu tupo ready hebu tupime kisha tuendelee ndipo binti kashtuka na kukataa. Nikamwambia unaniamini niingie hivyo hivyo akasema 'wewe tu'.

Hapo niliamka faster nikawahi bafuni kuoga kwa dettol na kupiga mswaki. Tayari nilikuwa nimeshamshika sana na alikuwa ametoka kumaliza period. Nilikuwa nishafanya romance zote mpaka kunyonya maziwa.

Nikarudi pale na kumwambia avae na kuondoka. Hapo faster nikamcheki jamaa yangu daktari anipatie pep nianze dozi ya haraka. Nimekunywa vidonge siku 28 na nilikamilisha wiki mbili zilizopita.

Sasa bwana yule binti akaanza kunitafuta baada ya siku tatu akijifanya anajutia. Akawa anaandika kwamba alichofanya ni Mungu tu anayeweza kumwelewa. Nikasema ni kitu gani? Akasema akiniona ataniambia.

Kumbe anajua yakipita masaa 72 unakuwa umeupata hivyo hata pep hazifanyi kazi. Anakutafuta ili ujue kwamba amekuambukiza. Alionesha kushtuka na kuwa disappointed baada ya kumuonesha kopo la pep.

Basi nikamwambia tuonane mahali na kweli akaja. Akaniambia yeye ni muathirika na aliambukizwa miaka minne iliyopita. Pia akasema yeye kwa sasa mwanaume yeyote atakayemtongoza anakubali kulala naye. Anasema aliambukizwa kwa makusudi hivyo naye lazima alipize kisasi.

Huyu binti alitokea huko kanda ya ziwa na alikuja Dar kusoma kuanzia certificate na sasa yupo mwaka wa tatu degree. Anatoka familia masikini hivyo alipofika Dar maisha yakawa magumu akajirahisisha kwa wanaume.

Ndugu zangu kuweni makini sana maana yupo anatembea kila kiwanja kuusambaza. Jina lake linaanzia na G na linaishia na A.

Nimepima vipimo viwili kwa mpigo niko poa. Picha hapa chini.

View attachment 2639760
Pimbi wewe
 
Mimi kwangu ndo balaaa nina vipimo vya kila aina vipi vya Gold, vya kawaida N.k...

Kila ninapo kwenda mahali nabeba.
 
Huyu binti nilifahamiana naye kupitia mtandao wa LinkedIn akiwa anatafuta field. Baada ya muda tukawa tunachati kwa karibu na hatimaye mahusiano.

Kwangu mwanamke yeyote akija kimapenzi lazima kwanza tupime. Yaani ukiingia tu mlangoni unakutana na 'pharmacy' yangu, unapima ndipo uingie.

Binti kafika pale na ndio ilikuwa mara ya kwanza kabisa kumuona. Awali kwa siku kadhaa alikuwa anakataa kuja home akitaka tukutane sehemu nyingine. Nilipokubali akajifanya amebadilisha kwamba ananiamini hivyo atakuja tu home.

Nikamwambia haya tupime akaanza kujizungusha akasema tukae tu tuangalie movie. Kwenye maongezi yetu siku za nyuma alisema alipima mwaka uliopita na yuko poa.

Basi nikasema isiwe kesi, kaa hapo. Kumbe mpango wake ni kuninasa nimle baadae akishanitega. Tumekaa pale kama saa zima kisha nikaanza kumgusa. Nikaona na yeye anakubali. Taratibu tukaendelea kushikana na mwishowe nguo tushazitoa.

Hapo sasa nikamwambia kwasababu tupo ready hebu tupime kisha tuendelee ndipo binti kashtuka na kukataa. Nikamwambia unaniamini niingie hivyo hivyo akasema 'wewe tu'.

Hapo niliamka faster nikawahi bafuni kuoga kwa dettol na kupiga mswaki. Tayari nilikuwa nimeshamshika sana na alikuwa ametoka kumaliza period. Nilikuwa nishafanya romance zote mpaka kunyonya maziwa.

Nikarudi pale na kumwambia avae na kuondoka. Hapo faster nikamcheki jamaa yangu daktari anipatie pep nianze dozi ya haraka. Nimekunywa vidonge siku 28 na nilikamilisha wiki mbili zilizopita.

Sasa bwana yule binti akaanza kunitafuta baada ya siku tatu akijifanya anajutia. Akawa anaandika kwamba alichofanya ni Mungu tu anayeweza kumwelewa. Nikasema ni kitu gani? Akasema akiniona ataniambia.

Kumbe anajua yakipita masaa 72 unakuwa umeupata hivyo hata pep hazifanyi kazi. Anakutafuta ili ujue kwamba amekuambukiza. Alionesha kushtuka na kuwa disappointed baada ya kumuonesha kopo la pep.

Basi nikamwambia tuonane mahali na kweli akaja. Akaniambia yeye ni muathirika na aliambukizwa miaka minne iliyopita. Pia akasema yeye kwa sasa mwanaume yeyote atakayemtongoza anakubali kulala naye. Anasema aliambukizwa kwa makusudi hivyo naye lazima alipize kisasi.

Huyu binti alitokea huko kanda ya ziwa na alikuja Dar kusoma kuanzia certificate na sasa yupo mwaka wa tatu degree. Anatoka familia masikini hivyo alipofika Dar maisha yakawa magumu akajirahisisha kwa wanaume.

Ndugu zangu kuweni makini sana maana yupo anatembea kila kiwanja kuusambaza. Jina lake linaanzia na G na linaishia na A.

Nimepima vipimo viwili kwa mpigo niko poa. Picha hapa chini.

View attachment 2639760
Da Ummy
IMG-20231104-WA0161.jpg
 
Hapo mwanangu ata Mimi ningefanya hvyo

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Endeleeni hivyo hivyo vidume ili muwe wateja wa ARV wazungu waishi.
Mnajisiifia ujinga, wazazi wenu wstalelewa na nani? Watoto wenu je?
Ni bora ukae kimya kushadadia umauti, ndio, wote tutakufa ila sio kizembe tu hiv unakufa.
HIV inansimibu sana na hutakuwa na furaha tena baada ya kuupata hatimae unaweza kuwa mwehu.
 
Huyu binti nilifahamiana naye kupitia mtandao wa LinkedIn akiwa anatafuta field. Baada ya muda tukawa tunachati kwa karibu na hatimaye mahusiano.

Kwangu mwanamke yeyote akija kimapenzi lazima kwanza tupime. Yaani ukiingia tu mlangoni unakutana na 'pharmacy' yangu, unapima ndipo uingie.

Binti kafika pale na ndio ilikuwa mara ya kwanza kabisa kumuona. Awali kwa siku kadhaa alikuwa anakataa kuja home akitaka tukutane sehemu nyingine. Nilipokubali akajifanya amebadilisha kwamba ananiamini hivyo atakuja tu home.

Nikamwambia haya tupime akaanza kujizungusha akasema tukae tu tuangalie movie. Kwenye maongezi yetu siku za nyuma alisema alipima mwaka uliopita na yuko poa.

Basi nikasema isiwe kesi, kaa hapo. Kumbe mpango wake ni kuninasa nimle baadae akishanitega. Tumekaa pale kama saa zima kisha nikaanza kumgusa. Nikaona na yeye anakubali. Taratibu tukaendelea kushikana na mwishowe nguo tushazitoa.

Hapo sasa nikamwambia kwasababu tupo ready hebu tupime kisha tuendelee ndipo binti kashtuka na kukataa. Nikamwambia unaniamini niingie hivyo hivyo akasema 'wewe tu'.

Hapo niliamka faster nikawahi bafuni kuoga kwa dettol na kupiga mswaki. Tayari nilikuwa nimeshamshika sana na alikuwa ametoka kumaliza period. Nilikuwa nishafanya romance zote mpaka kunyonya maziwa.

Nikarudi pale na kumwambia avae na kuondoka. Hapo faster nikamcheki jamaa yangu daktari anipatie pep nianze dozi ya haraka. Nimekunywa vidonge siku 28 na nilikamilisha wiki mbili zilizopita.

Sasa bwana yule binti akaanza kunitafuta baada ya siku tatu akijifanya anajutia. Akawa anaandika kwamba alichofanya ni Mungu tu anayeweza kumwelewa. Nikasema ni kitu gani? Akasema akiniona ataniambia.

Kumbe anajua yakipita masaa 72 unakuwa umeupata hivyo hata pep hazifanyi kazi. Anakutafuta ili ujue kwamba amekuambukiza. Alionesha kushtuka na kuwa disappointed baada ya kumuonesha kopo la pep.

Basi nikamwambia tuonane mahali na kweli akaja. Akaniambia yeye ni muathirika na aliambukizwa miaka minne iliyopita. Pia akasema yeye kwa sasa mwanaume yeyote atakayemtongoza anakubali kulala naye. Anasema aliambukizwa kwa makusudi hivyo naye lazima alipize kisasi.

Huyu binti alitokea huko kanda ya ziwa na alikuja Dar kusoma kuanzia certificate na sasa yupo mwaka wa tatu degree. Anatoka familia masikini hivyo alipofika Dar maisha yakawa magumu akajirahisisha kwa wanaume.

Ndugu zangu kuweni makini sana maana yupo anatembea kila kiwanja kuusambaza. Jina lake linaanzia na G na linaishia na A.

Nimepima vipimo viwili kwa mpigo niko poa. Picha hapa chini.

View attachment 2639760
Mbona ulipanik sana mweshimiwa?

Nani alikwambia ukimwi unaambukizwa kama unagawiwa njugu?

Huyo binti ana elimu ya university kweli au ni kihiyo mmoja anayejiuza tu?

Angelikuwa kaelimika angalijua na kufahamu wazi kuwa Ukimwi hauambukizwi kirahisi namna hiyo na kwa visasi.

Eti kisasi, kwani wewe ndiye uliyemwambukiza!

Huyo atakufa haraka sana kama mwenendo wake wa maisha unaonesha tayari ashajikataa.

Anaweza kuja kwako kwa dhamira ovu lakini akakukuta na wewe ni mwathirika ukamwambukiza yeye ukimwi wa pili ama homa ya ini.

Ina maana hayo yote msomi mzima hayaelewi?

Ungeweza kumgonga kavu bila hata ya kufakamia pep ukasavaiv vile vile.

Kuambukizana gonjwa la ukimwi kuna process zake na siyo hizo alizotaka kuzitumia kwako, ni njia ya kubahatisha.

Huyo alikuwa na upwiru tu wa kugongwa kavu kavu hana lolote.
 
Unavyojifanya uko makini na unaogopa ngoma kiboya sana

Ingekuwa kupata ngoma ni rahisi rahisi hivyo basi kila mtu angekuwa nayo

Kuna watu wanahudumia wagonjwa wa ngoma wale wa hatua ya mwisho bila gloves na wanawafulia mpaka nguo lakin na hawapati ngoma

Nakwambia hivi na utakufa kwa ngoma
Na kwa ushuhuda huo bado unaamini kuna ngoma
 
Huyu binti nilifahamiana naye kupitia mtandao wa LinkedIn akiwa anatafuta field. Baada ya muda tukawa tunachati kwa karibu na hatimaye mahusiano.

Kwangu mwanamke yeyote akija kimapenzi lazima kwanza tupime. Yaani ukiingia tu mlangoni unakutana na 'pharmacy' yangu, unapima ndipo uingie.

Binti kafika pale na ndio ilikuwa mara ya kwanza kabisa kumuona. Awali kwa siku kadhaa alikuwa anakataa kuja home akitaka tukutane sehemu nyingine. Nilipokubali akajifanya amebadilisha kwamba ananiamini hivyo atakuja tu home.

Nikamwambia haya tupime akaanza kujizungusha akasema tukae tu tuangalie movie. Kwenye maongezi yetu siku za nyuma alisema alipima mwaka uliopita na yuko poa.

Basi nikasema isiwe kesi, kaa hapo. Kumbe mpango wake ni kuninasa nimle baadae akishanitega. Tumekaa pale kama saa zima kisha nikaanza kumgusa. Nikaona na yeye anakubali. Taratibu tukaendelea kushikana na mwishowe nguo tushazitoa.

Hapo sasa nikamwambia kwasababu tupo ready hebu tupime kisha tuendelee ndipo binti kashtuka na kukataa. Nikamwambia unaniamini niingie hivyo hivyo akasema 'wewe tu'.

Hapo niliamka faster nikawahi bafuni kuoga kwa dettol na kupiga mswaki. Tayari nilikuwa nimeshamshika sana na alikuwa ametoka kumaliza period. Nilikuwa nishafanya romance zote mpaka kunyonya maziwa.

Nikarudi pale na kumwambia avae na kuondoka. Hapo faster nikamcheki jamaa yangu daktari anipatie pep nianze dozi ya haraka. Nimekunywa vidonge siku 28 na nilikamilisha wiki mbili zilizopita.

Sasa bwana yule binti akaanza kunitafuta baada ya siku tatu akijifanya anajutia. Akawa anaandika kwamba alichofanya ni Mungu tu anayeweza kumwelewa. Nikasema ni kitu gani? Akasema akiniona ataniambia.

Kumbe anajua yakipita masaa 72 unakuwa umeupata hivyo hata pep hazifanyi kazi. Anakutafuta ili ujue kwamba amekuambukiza. Alionesha kushtuka na kuwa disappointed baada ya kumuonesha kopo la pep.

Basi nikamwambia tuonane mahali na kweli akaja. Akaniambia yeye ni muathirika na aliambukizwa miaka minne iliyopita. Pia akasema yeye kwa sasa mwanaume yeyote atakayemtongoza anakubali kulala naye. Anasema aliambukizwa kwa makusudi hivyo naye lazima alipize kisasi.

Huyu binti alitokea huko kanda ya ziwa na alikuja Dar kusoma kuanzia certificate na sasa yupo mwaka wa tatu degree. Anatoka familia masikini hivyo alipofika Dar maisha yakawa magumu akajirahisisha kwa wanaume.

Ndugu zangu kuweni makini sana maana yupo anatembea kila kiwanja kuusambaza. Jina lake linaanzia na G na linaishia na A.

Nimepima vipimo viwili kwa mpigo niko poa. Picha hapa chini.

View attachment 2639760
Sasa haujapiga ungeambukizwa vipi?kingine huyo demu anaogopa kufa lazima anatumia ARV na kama ulimuandaa mda mrefu isingekuwa rahisi.
 
Back
Top Bottom