Mkuu huyo Komwe usimuue bure. Mfungie bibi FaizaFoxy FaizaFixy hadi ajambe kwa mbele.π€£π€£π€£π€£Natamani nimfungie BICHWA KOMWE - chumbani halafu nipulizie RUNGU.
Atajamba sana yule hayawani. BWABWA kabisa.
We jamaaa an umeshikilia hapo hapo kwenye polisi..Peleka Polisi hiyo mbw@ ingawa sina imani nao sana hawa Polisi wa bongo..
Kwa hiyo wewe mtu kutaka kukuua ndio roho nzuri??..We jamaaa an umeshikilia hapo hapo kwenye polisi..
We jamaa mbona una roho mbaya hvo khaaaaa
Mkuu ile kitu hakua na elimu nayo..Kwa hiyo wewe mtu kutaka kukuua ndio roho nzuri??..
Kwanini asingerudishia tu mlango?? Kwanini aliufunga kabisa kwa nje ili wewe ushindwe kutoka??..Mkuu ile kitu hakua na elimu nayo..
Wee mkuu unaweza fung mtu rahisi rahisi hvo
Hali unayo isikia ni kama yule mwana mieleka alikua ana wapiga KOFI LA NGUVU KWENYE KOO THEN ALIE PIGWA ANA ANZA KUTAPATAPA...Mkuu ile kitu hakua na elimu nayo..
Wee mkuu unaweza fung mtu rahisi rahisi hvo
Usicheke mkuu show ilikua kali ujue..Pole ndugu yangu π
Mkuu nilipatwa na kiu ambayo mpaka sasa najiuliza kuna mechanism gani pale an maana koo lilikauka kiasi ambacho niliona nakata moto mda huo huoHali unayo isikia ni kama yule mwana mieleka alikua ana wapiga KOFI LA NGUVU KWENYE KOO NA KUANZA KUTAPATAPA...
MWEZI ULIO ISHA NILIPATWA NA KIFUA UNAKOHOA MPAKA MASIKIO,KIFUA NA KOO PUMZI ZINA ZIBA..MBONA NA UBISHI WANGU KUMEZA DAWA NILI ANZA DOZI USIKU HUO HUO...
Usuombe na nilivyo kua napenda kutumia vitu vya baridi nilichelewa Sana kuponaaa
Anasema alifunga kwa sababu ya usalama et...Kwanini asingerudishia tu mlango?? Kwanini aliufunga kabisa kwa nje ili wewe ushindwe kutoka??..
Naijua hiyo Hali usiombeee kabisaa..ni Hali ngumu..ukipata difficult in breathing..nikama uwekwe kwenye CHUMBA kisicho na hewa..Usicheke mkuu show ilikua kali ujue..
Nilipatwa na kiu cha ajabu
Unataka bado na mimi et..Aliuona wewe uko kundi la wadudu/huna msaada,chawa.... labda unywe au upuliziwe puani/kwenye koo.. kuna siku atakamilisha lengo lake.. tc
Ungemlaza lockup na kashkash nyingi za Polisi ili akili imkae sawa.Anasema alifunga kwa sababu ya usalama et...
Mkuu sababu zake ndo hzo japo Sio strong. Kingine mkuu kumfunga mtu ni process huku uswazi
Sema unajua Kuna watu unalala nao lakini wanakuwazia kukumaliza tu hah.Huyu mshamba alitaka kunitoa roho mkuu wangu
Takutukana humu mkuuBRAZA CHOGO Angelia sana Endapo ungekufa angekuwa anakumbuka vitako mviringo anapoteza faham Kwa mda.π
ππππππ Mkuu show kali alfu mi ni black matterWewe ni asili ya watu weupe? [emoji1787][emoji1787] Maana sisi Wengine tunapuliziwa Sumu na hatufi tunalogwa tunavunjika hatukatiki ni kama Ile movie ya sisu pole mkuu
Yaishe mkuu nmekosa mimi nmekosa sana.Takutukana humu mkuu