Nimenusurika kufa jana

Nimenusurika kufa jana

Mkuu ile kitu hakua na elimu nayo..
Wee mkuu unaweza fung mtu rahisi rahisi hvo
Hali unayo isikia ni kama yule mwana mieleka alikua ana wapiga KOFI LA NGUVU KWENYE KOO THEN ALIE PIGWA ANA ANZA KUTAPATAPA...

MWEZI ULIO ISHA NILIPATWA NA KIFUA UNAKOHOA MPAKA MASIKIO,KIFUA NA KOO PUMZI ZINA ZIBA..MBONA NA UBISHI WANGU KUMEZA DAWA NILI ANZA DOZI USIKU HUO HUO...

Usuombe na nilivyo kua napenda kutumia vitu vya baridi nilichelewa Sana kuponaaa
 
Hali unayo isikia ni kama yule mwana mieleka alikua ana wapiga KOFI LA NGUVU KWENYE KOO NA KUANZA KUTAPATAPA...

MWEZI ULIO ISHA NILIPATWA NA KIFUA UNAKOHOA MPAKA MASIKIO,KIFUA NA KOO PUMZI ZINA ZIBA..MBONA NA UBISHI WANGU KUMEZA DAWA NILI ANZA DOZI USIKU HUO HUO...

Usuombe na nilivyo kua napenda kutumia vitu vya baridi nilichelewa Sana kuponaaa
Mkuu nilipatwa na kiu ambayo mpaka sasa najiuliza kuna mechanism gani pale an maana koo lilikauka kiasi ambacho niliona nakata moto mda huo huo
 
Usicheke mkuu show ilikua kali ujue..
Nilipatwa na kiu cha ajabu
Naijua hiyo Hali usiombeee kabisaa..ni Hali ngumu..ukipata difficult in breathing..nikama uwekwe kwenye CHUMBA kisicho na hewa..

Mfano walio dondokewa na kifusi kariakoo wakanusulika na kusimulia kilicho tokea..
 
Anasema alifunga kwa sababu ya usalama et...
Mkuu sababu zake ndo hzo japo Sio strong. Kingine mkuu kumfunga mtu ni process huku uswazi
Ungemlaza lockup na kashkash nyingi za Polisi ili akili imkae sawa.

Ila ujue nini mkuu, wewe endelea tu kumchekea ili siku mission yake ikamilike na mimi nile pilau la kwenye msiba.

Sijala mda mrefu alafu huwa ni tamu mno aisee (hahahaa I'm just kiddin')
 
Wewe ni asili ya watu weupe? [emoji1787][emoji1787] Maana sisi Wengine tunapuliziwa Sumu na hatufi tunalogwa tunavunjika hatukatiki ni kama Ile movie ya sisu pole mkuu
 
Wewe ni asili ya watu weupe? [emoji1787][emoji1787] Maana sisi Wengine tunapuliziwa Sumu na hatufi tunalogwa tunavunjika hatukatiki ni kama Ile movie ya sisu pole mkuu
😄😄😄😄😄😄 Mkuu show kali alfu mi ni black matter
 
Back
Top Bottom