Nimenusurika kufa jana

Kuna kitu kinakusumbua dogo, omba msaada usaidiwe.
Bado hujachelewa, seriously!
 
Taratibu kiongozi kabla hujang'ata pamba tujuze kwanza
Upo kwa F.A.M?
Au kwa T.A.L?
🀣
 
Ndiioooo, hukuwaona wale wafia dini?
Madam mi na dini wapi na wapa sasa....
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Nakaa kwenye ghetto safi tuu nainjoi maisha ujue sema ndo hvo tuu juzi kilitokea bahati mbaya an
 
mtoa roho hayupo kifo hakihusiani na mpango wa Mungu.
nachoweza kukueleza nikwamba Hujafa Bado hujaumbika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…