Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #281
Naona unataka ugomvi ambao hata UN eatashindwa kuugombelezea mkuuYaishe mkuu nmekosa mimi nmekosa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unataka ugomvi ambao hata UN eatashindwa kuugombelezea mkuuYaishe mkuu nmekosa mimi nmekosa sana.
Ndugu Yako huyo atakuponza sana humu subir tu.Naona unataka ugomvi ambao hata UN eatashindwa kuugombelezea mkuu
😄😄😄😄😄 Ndugu hakwepeki mkuu daaahNdugu Yako huyo atakuponza sana humu subir tu.
Naomba msaadaKuna kitu kinakusumbua dogo, omba msaada usaidiwe.
Bado hujachelewa, seriously!
Subiri kidogo.Naomba msaada
Nakutegemea sis nipo hapaSubiri kidogo.
Kuwa mpoleeeNakutegemea sis nipo hapa
hahaOoooh mambo ya inheritance hayo....
Sawa sawa..
Dadakidoti mi nataka siku moja nikuone
Wanasoma mstari kwa mstari, neno kwa neno, hadi nukta wanasoma, wanachotafuta ni kasoro.Ila JF andika maandishi 1000 bila kukosea ila andishi la 1001 ukiosea kwisha habari yako😄
Nipo hapa sitaki mba mba mba sisKuwa mpoleee
Naomba nije dada....haha
Ndiioooo, hukuwaona wale wafia dini?Unanifanyia makusudi tuu..
Hvi kweli binadamu mwenzako mwenye miguu na mikono unasema anaishi kwenye andaki madam 😢😢😢
Kwa sasa nipo na flag 😄😄😄🙌🙌🙌Taratibu kiongozi kabla hujang'ata pamba tujuze kwanza
Upo kwa F.A.M?
Au kwa T.A.L?
🤣
Madam mi na dini wapi na wapa sasa....Ndiioooo, hukuwaona wale wafia dini?
Kwa hiyo mkuu unakula nke ya mtu? Unajipakulia tu style zote? Kazi ipo!!Sio single maza ana mume wake huyu oooh