Nimenusurika kufa jana

Soul removaler- just write " Soul taker"
 
Wewe ka kifua Kako kabovu sana Hit ndo inataka kukutoa roho ,watu tunapuliza unalala nayo japo si salama si shauri
 
Alitaka tu ufe au ulale akapigwe miti chooni na wahuni wa hapo mtaani kwenu. Bado unaye huyu demu, mpige chini mara moja akaue wengine huko mbeleni.
 
Kuna panda alijificha ndani tafuta tafuta na wewe nikamuambia wife kanunue rungu,akaleta fasta nikafunga milango ziba kila uwazi kisha nikapuliza ya kutosha tukakaa nje,dk 3 nyingi tukasikia panda inagonga mlango kwa ndani ifunguliwe itoke!...siyo poa
 
Kabla ya kutumia dawa yoyote ile Kama hizo za kupuliza, ni vyema Sana usome kwanza maelekezo yake yote juu ya namna ya matumizi yake sahihi. Ni hatari kubwa sana kutumia dawa yoyote ile bila kujua namna ya matumizi yake sahihi kwanza. Ni hatari sana.!
Baadhi ya dawa hugeuka kuwa sumu hatari endapo kama utakosea namna ya matumizi yake.
Are you aware about Perfume Poisoning or Air Poisoning?
Be very careful!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…