Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeishia kwenye maziwa dede ... ahsante nitaendelea in shaa Allah
 
Kaka acha tu kuna shangazi nlimpata mombasa alinipenda sana shida alkua demu wa jini...
Uyo madam ana t@ko kama la Nicole wa kondeboy shida majini yake ..
uzuri alinambia vyote kwamba hilo dude lake linamjiaga linamla mpaka linamaliza hamu zake kwa mujibu wake anasema kwa sasa amepona ila nlivowaza pwani ya mombasa na mambo ya popobawa asee nikalinda tundu kwa kuachana nae mara moja yule Lab tech
NB Uyo madam ni mzur namansha mzuri kwel mpaka nikawaza labda naye ni jini kifupi ni kama mwarabu ila nyuma ni double deef ya maana sana anavaa kituruki turuki Arabic na muda wote ananukia mdomon meno yana madini wallah atakua jini yule
 

Hao Ndio type yangu
 
haukuwaza kwamba yawezekana huyo pastor na huyo manzi wanafahamiana
Wala hawajuani.

Pia nilifanya uchunguzi nikajulishwa ni kweli huyo Binti huwa anapandishaga mapepo tangu akiwa shuleni.

Huyo Pastor ana upako sana nafahamu huduma zake, wiki hiyo nilimsaidia kwenye matibabu ya Mtoto wake kumbe nae akaniweka kwenye maombi ndio maana aligundua tatizo ambalo lingenipata.
 
Umenikumbusha nyuma kidogo haya mambo yapo

Kipindi nipo chuo kuna mwaanamke kutoka iringa nilimpenda nikatupa nyavu akakubali maana nilikuwa nampiga pia pindi baadhi ya masomo ya sayansi,

Siku akaniaambia niende alipopanga si mbali na mimi nilipo panga,

Mida ya saa mbili nikaenda nikakuta amepika makande matamu sana tukala pale mida ya saa nne nikamwambia narudi , lakini kumtazama nikaona kama anataka mchezo, nikamwambia hapana

Nikaenda kufungua mlango, mlango ukagoma kufunguka, tuliaangaika sana nikashangaa nikamuuliza inakuaje mlango umegoma, nikamwambia naomba kisu nikafanikiwa kuharibu mlango nikatoka nje akasema sasa nitalalaje mwenyewe,

Nikasema basi ngoja tulale asubuhi nitaondoka akakubali,

Uvumilivu ukanishinda baada tu kumuona yuko uchi nikasema hapa hapa namla,

Nikaanza kumchezea nikamchezea sana lakini nikahisi hali si ya kawaida , nikasema ngoja niweka penis, ile tu naweka tu akaanza kutoa sauti ya kunguruma kwa sauti kubwa sana na akaanza kutetemeka pale kitandani nikawa namzuie asianguke nikaona hapa mambo yameshabadilika, nikamuacha na kutoka mbio kurudi mageto[emoji3][emoji3] nikaafika geto nikamsimulia raafiki yake , baaada ya dk 30 akanipigia simu akawa analaumu sana kuwa nimemuacha na hali ile nikaondoka nikamwambie niko huku natafuta piki piki nije nikuchukue nikupeleke hospitalini

Toka hapo nikamuogopa sana, akaje jamaaa moja naye alimkimbia kwa hiyo ishu na aliwahi kumwambia yakimpanda na mamake kule iringa yanampanda hivyo hivyo
 
Hapo ungekufa vichwa vya habari katika vyanzo mbalimbali hasa Jf na Millard Ayo, vingesomeka hivi:

AUWAWA NA MWANAMKE GUEST, KISA WIVU WA KIMAPENZI. Afu Raia wangeanza kushangaa mwanaume anauliwaje na mwanamke? Wakati uhalisia ni kwamba umeuawa na jini.

Ukisikia mtu kafa Akiwa guest akiwa na mwanaume au mwanamke, ujue kuna mengi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwanaume unaogopa majini[emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…