Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Umetulisha matango pori. Na vurumai yote hiyo warda hujamla. Arrange siku nyingine...irudiweee

Kwa Hali Ile Kama ingetokea katikati ya mchezo angenichomoa mbolo au makende
 
hapo ndipo alikuzidi ujanja!

Malalamiko yake kuhusu harufu asiyoipenda ilikuwa ni sababu tosha hasa nawe uliponusa hizo harufu.

Laiti ungemsikiiza mechi ikasogezwa mbele usingejipata kwenye kadhia hiyo.

Basi ndio imekuwa hivyo.

Ila amesharuhusiwa Hospitalini, kumbe hajalelewa. Nimempeleka Kwake Tabata Segerea
 
Juzi niko lugalo hospital kalewa dogo Ana kama 15 years hiv. Walizani maleria umepanda kichwani kumbe majini bwana. Yaani kumbana yule dogo ili achomwe sindano ya usingz/kumlegeza ilihitaji wanaume 6 walishiba Kati yao wanajeshi 3 na bado ilikuwa ni varangati. Na dogo hana mwili mkubwa wala nn. Ndio ni kasemA Haya madude yakivaa mwili Wako na MIGUVU yao ya KISHETANI si ya kuyasogelea kabisa. Mimi demu akianza hizo swaga za Mapepo tu hapo hapo NASEPA

Yananguvu balaa, sijui ingekuwaje
 
pole sana mkuu..
naomba nijifunze hap kitu toka kwako..
haya maneno ya kikulungwa ndo yapii??
naomba unisaidie na jamii forum kwa ujumla..

Mkuu hizo ni Code, nitazieleza siku nyingine.

Ila ukiyasema hayo maneno sharti uyaseme ukiwa umeyakaza macho yako pasipo kupepesa kulia wala kushoto, umtazame usoni.

Au unong'one sikioni mwake, ukiwa umemshika mikono yake Kwa nguvu.
 
Raundi ya pili hatoki mtu
silaha kubwa ni kumchatisha maneno ya shombo kabla hamja kutana...ukikutana nae ukipima oili lazima tu utakutana na utelezi...kiaina unahakikisha kidole chako kimebeba ule utelezi wake wa huko chini unampaka utosini bila yeye mwenyewe kujua...hakikisha umempaka utosini sio kwenye nywele uiguse ngozi ya utosi kabisa...
 
vp kuhusu mkeo ulioa bikra akipata hizi taarifa bdo ataendelea kukuvumilia kwa kigezo cha kuwa wa kwanza kwake?

Mwanamke haniendeshi Mkuu.

Hata apate akijaribu Moto atauona,

Mimi ni jokajeusi,
 
silaha kubwa ni kumchatisha maneno ya shombo kabla hamja kutana...ukikutana nae ukipima oili lazima tu utakutana na utelezi...kiaina unahakikisha kidole chako kimebeba ule utelezi wake wa huko chini unampaka utosini bila yeye mwenyewe kujua...hakikisha umempaka utosini sio kwenye nywele uiguse ngozi ya utosi kabisa...


Nashukuru Kwa mbinu

Ila tayari nimejipanga Kikulungwa, Raundi hii hatatoka. Labda Mimi sio jokajeusi
 
Back
Top Bottom