Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Ndio sababu nimekuuliza ndugu, ni uhalisia au ndoto? Maana Mimi mwenyewe niliwahi kumla mwanamke mmoja huwa ana majini wawili mwenyewe anawaita walimu wake, sema tu alikuwa ameshanihadithia kabla na nikalithibitisha hilo siku moja nimepita mazingira ya nyumbani kwao na baba yake alikuwepo ndiye humsaidia kuyatuliza.

Siku za mbeleni akaniletea qumma yeye mwenyewe nikamhoji vipi kuhusu hao walimu wako maana sipendi kusumbuliwa, akanihakikishia amewaomba na wamemkubalia kwahiyo haina shida na ana nyegge nyingi hajafanywa kwa muda mrefu sana mtu wake alikuwa safari nikalala naye hadi asbh ~ nakumbuka siku ile sikupata tone la usingizi nikijihami kuwa nikiona dalili yyt ya ajabu natoka mbio ndefu [emoji16]
Duh ila nyie wanaume mna nyege mbaya😆😆
 
Mimi niliona ananitania Mwanzoni.

Aisee!!
hapo ndipo alikuzidi ujanja!

Malalamiko yake kuhusu harufu asiyoipenda ilikuwa ni sababu tosha hasa nawe uliponusa hizo harufu.

Laiti ungemsikiiza mechi ikasogezwa mbele usingejipata kwenye kadhia hiyo.
 
Juzi niko lugalo hospital kalewa dogo Ana kama 15 years hiv. Walizani maleria umepanda kichwani kumbe majini bwana. Yaani kumbana yule dogo ili achomwe sindano ya usingz/kumlegeza ilihitaji wanaume 6 walishiba Kati yao wanajeshi 3 na bado ilikuwa ni varangati. Na dogo hana mwili mkubwa wala nn. Ndio ni kasemA Haya madude yakivaa mwili Wako na MIGUVU yao ya KISHETANI si ya kuyasogelea kabisa. Mimi demu akianza hizo swaga za Mapepo tu hapo hapo NASEPA
 
Kwema Wakuu!

Leo hii mngepewa taarifa ya tanzia ya msiba wa jokajeusi baada ya Jana kunusurika kuuawa nikiwa Guesthouse. Kwa kweli ningeingia Kuzimu Kwa Aibu huku nikiacha fedheha kubwa Duniani. Ishu ilianza, majira ya saa moja jioni, ambapo nilikuwa nikiwasiliana na Mtoto mrembo aitwaye Warda.
Daa... pole sana mkuuu.
 
Kwema Wakuu!

Leo hii mngepewa taarifa ya tanzia ya msiba wa jokajeusi baada ya Jana kunusurika kuuawa nikiwa Guesthouse. Kwa kweli ningeingia Kuzimu Kwa Aibu huku nikiacha fedheha kubwa Duniani. Ishu ilianza, majira ya saa moja jioni, ambapo nilikuwa nikiwasiliana na Mtoto mrembo aitwaye Warda. Warda ni Mdada wa miaka 25 -27 hivi, mwenye macho mazuri, mrembo mwenye umbo matata ambalo nikiri ndilo lililo nivutie mbali na Sura yake nzuri.
pole sana mkuu..
naomba nijifunze hap kitu toka kwako..
haya maneno ya kikulungwa ndo yapii??
naomba unisaidie na jamii forum kwa ujumla..
 
Kwema Wakuu!

Leo hii mngepewa taarifa ya tanzia ya msiba wa jokajeusi baada ya Jana kunusurika kuuawa nikiwa Guesthouse. Kwa kweli ningeingia Kuzimu Kwa Aibu huku nikiacha fedheha kubwa Duniani. Ishu ilianza, majira ya saa moja jioni, ambapo nilikuwa nikiwasiliana na Mtoto mrembo aitwaye Warda. Warda ni Mdada wa miaka 25 -27 hivi, mwenye macho mazuri, mrembo mwenye umbo matata ambalo nikiri ndilo lililo nivutie mbali na Sura yake nzuri.
Unaendekeza nyege
 
Back
Top Bottom