Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Kwema Wakuu!

Leo hii mngepewa taarifa ya tanzia ya msiba wa jokajeusi baada ya Jana kunusurika kuuawa nikiwa Guesthouse. Kwa kweli ningeingia Kuzimu Kwa Aibu huku nikiacha fedheha kubwa Duniani. Ishu ilianza, majira ya saa moja jioni, ambapo nilikuwa nikiwasiliana na Mtoto mrembo aitwaye Warda. Warda ni Mdada wa miaka 25 -27 hivi, mwenye macho mazuri, mrembo mwenye umbo matata ambalo nikiri ndilo lililo nivutie mbali na Sura yake nzuri.

Warda ni Hotelia katika moja ya Hoteli kubwa hapa DSM, Hoteli ya nyota nne, iliyopo Maeneo ya posta. Nilikutana naye wiki moja iliyopita, nilipofika k
Bila picha ni chai tu mazee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambiaje round hii utafanywa kitu hutoamini, wee kuwa mbishi shauri yako lol.

Nilishakutana na Jinni ukoo wa Subiani nilishamtoaga Knockout.

So najua nachoenda kufanya
 
Jibu unalo[emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa huyu wake hadi walimu wako kichwani kwake mweeeh [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji2][emoji2][emoji2]

Kuna Jinni ukoo wa Subiani liliyavaa miaka ya nyuma, nafikiri halikukutana na jini la Warda likampa Stori zangu.
Jini halimtoi jini mwenzie bali hushirikiana kutoa shambulizi kwa mlengwa, acha uzwazwa utakufa kisa papuchi inayomilikiwa na majini
 
Nilishakutana na Jinni ukoo wa Subiani nilishamtoaga Knockout.

So najua nachoenda kufanya
Sawa kikubwa usilete mrejesho wa uongo, ili u win tutakustukia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jini halimtoi jini mwenzie bali hushirikiana kutoa shambulizi kwa mlengwa, acha uzwazwa utakufa kisa papuchi inayomilikiwa na majini

Nakuambia hivi nilikutana na Msichana mmoja huko Korogwe miaka ya 2016 alikuwa Jinni jamii ya Subiani akaleta fujo zake lakini vita Ile nilishinda kiwepesi kabisa.

Sasa huyu wa Warda hawezi nisumbua
 
Nakuambia hivi nilikutana na Msichana mmoja huko Korogwe miaka ya 2016 alikuwa Jinni jamii ya Subiani akaleta fujo zake lakini vita Ile nilishinda kiwepesi kabisa.

Sasa huyu wa Warda hawezi nisumbua
Haya bwashee
 
Sawa kikubwa usilete mrejesho wa uongo, ili u win tutakustukia [emoji23][emoji23][emoji23]

Nafikiri mechi inayofuata itakuwa rahisi, mechi hii majini yake ndio yangeshinda Kwa sababu sikuwa najua.

Nitaleta mrejesho
 
Back
Top Bottom