Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Huyu mzee yeye alisema huwa ana deal na wanawake bikra tyuuh.
Ndo nkawa namuuliza hapo, je huyo nae bikra? Ila kiukweli majina ya Warda sijui vipi, kulikua warda tulisoma wote primary class 1, jaman tangu drs la 6 anatembea na wakaka wa mtaan, na alikua mcharuko hatari lol.
Now time kaolewa ila hajazaa had now, japo kwenye ndoa huu mwaka 4.
Naomba contact zake mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwema Wakuu!

Leo hii mngepewa taarifa ya tanzia ya msiba wa jokajeusi baada ya Jana kunusurika kuuawa nikiwa Guesthouse. Kwa kweli ningeingia Kuzimu Kwa Aibu huku nikiacha fedheha kubwa Duniani. Ishu ilianza, majira ya saa moja jioni, ambapo nilikuwa nikiwasiliana na Mtoto mrembo aitwaye Warda. Warda ni Mdada wa miaka 25 -27 hivi, mwenye macho mazuri, mrembo mwenye umbo matata ambalo nikiri ndilo lililo nivutie mbali na Sura yake nzuri.
Hiki mbona kama Riwaya fulani vile....
 
Jamaa huna usongo ww....
Ile demu ameingia tu mlangoni ilitakiwa upige viwili chaap....
then ndio mnakaa kitandani kwa story...
ukisubiri muanze ku.tiana rasmi...
 
Kwema Wakuu!

Leo hii mngepewa taarifa ya tanzia ya msiba wa jokajeusi baada ya Jana kunusurika kuuawa nikiwa Guesthouse. Kwa kweli ningeingia Kuzimu Kwa Aibu huku nikiacha fedheha kubwa Duniani. Ishu ilianza, majira ya saa moja jioni, ambapo nilikuwa nikiwasiliana na Mtoto mrembo aitwaye Warda. Warda ni Mdada wa miaka 25 -27 hivi, mwenye macho mazuri, mrembo mwenye umbo matata ambalo nikiri ndilo lililo nivutie mbali na Sura yake nzuri.
Pole sana joka jeusi

Baki kwenye Bikra...

hizi mambo tuachie sisi mafundi
 
Back
Top Bottom