Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Aisee!.
Tukio kama hili nakumbuka liliwahi kunitokea. Niliingia Gest na Pisi kali, tukiwa kitandani namuandaa yule Binti akaniambia kichwa kinamuuma hajisikii vizuri - Simu yangu ikawa inaita nikapokea. Alikuwa ni mchungaji wa Kanisani kwetu, aliniambia alikuwa kwenye maombi kaonyeshwa kuwa mimi nipo Gest na Binti mwenye Mapepo saba hivyo nakaribia kuingia matatizoni. Akaniomba nisitishe hilo zoezi.

Nikajiuliza iwapo angepandisha mapepo, Sijui nini kingetokea maana binafsi sina uwezo wa kuyatuliza wala kupambana nayo ningeishia kutimua mbio tu.
Warda alikuwa akilalama anajisikia vibaya,

Kisha akaanza kutetemeka huku akilalamika baridi,
Akawa anasisitiza hajisikii vizuri. Mimi nikawa namuona anazingua
 
Nimeshaingea kwenye mgogoro na majini, lazima nimgegede. Siwezi zuiwa majini Mimi.
Mara hii mbu.pu zinakwenda amini amini nakwambia!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa na we ungeweka hizo Arabs style, mbna ukawa unachachawa? Na bahati yako angekua mwalimu Athuman angekuvunja pumbu hizo, hahah

😃😃😃😃

Sasa ajiandae maana raundi hii lazima atombwe na waalimu wake.

Mtoto mzuri ananiletea upuuzi wake wa majini hapa. Alah!
 
Huyu mzee yeye alisema huwa ana deal na wanawake bikra tyuuh.
Ndo nkawa namuuliza hapo, je huyo nae bikra? Ila kiukweli majina ya Warda sijui vipi, kulikua warda tulisoma wote primary class 1, jaman tangu drs la 6 anatembea na wakaka wa mtaan, na alikua mcharuko hatari lol.
Now time kaolewa ila hajazaa had now, japo kwenye ndoa huu mwaka 4.
Jibu unalo[emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukitaka kunificha kitu tumia hadithi ndefu...Huwa siwezi kusoma...Wadau watanisimulia
 
Hizo code za kikurugwa si zilifeli pale lodge au mie nilisoma vibaya?

Ilibaki kidogo tyu utolewe roho huku ukitaja hizo code za K[emoji23]

Nimekushauri utumie another code kama kweli umedhamiria kumgegeda mwenye pepo, bishop Mkandamizaji anazijua vizuri hizo code wasiliana nae

Hazikufeli sema nilitanguliza uchu wa ngono mbele.

Alafu nilikuwa nampa code za kiwango cha chini lakini huyu nikimpa zile za kikubwa namzimisha
 
Hahahaha broo kumbe wew ndo joka Jeusi... Mimi ndo yule mshikaji niliyekupa taulo ujifunge.... Angekuua aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwema Wakuu!

Leo hii mngepewa taarifa ya tanzia ya msiba wa jokajeusi baada ya Jana kunusurika kuuawa nikiwa Guesthouse. Kwa kweli ningeingia Kuzimu Kwa Aibu huku nikiacha fedheha kubwa Duniani. Ishu ilianza, majira ya saa moja jioni, ambapo nilikuwa nikiwasiliana na Mtoto mrembo aitwaye Warda.
Ijapo hii story ni chai,lakini itasaidia kidogo watu kufikiri mara mbili kabla ya kuamua kufanya uzinzi
 
“shindwa pepo kwa jina la Yesu” x3

Watu wanatamka jina la Yesu mpaka kwenye uasherati huko![emoji28][emoji28][emoji28]
Option zikiisha, inaitwa 'Kila goti litapigwa'
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sasa ajiandae maana raundi hii lazima atombwe na waalimu wake.

Mtoto mzuri ananiletea upuuzi wake wa majini hapa. Alah!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambiaje round hii utafanywa kitu hutoamini, wee kuwa mbishi shauri yako lol.
 
Back
Top Bottom