Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Dah ulihisi anakuigizia eeh, angekubana mapumbu ndio ungeona balaa lake!

Kwenye kumtooomba nafikiri ndio angeniweza kunidhibiti nikiwa simfahamu vizuri.

Lakini raundi hii ama zake ama zangu
 
“shindwa pepo kwa jina la Yesu” x3

Watu wanatamka jina la Yesu mpaka kwenye uasherati huko!😅😅😅
Nilishawahi kuoa mke ana majini na vituko vyake vilikuwa hivyohivyo...ila kuna njia mbili nilikuwa nazitumia kama yakitokea tukiwa wawili tu ;
1. Kumshika sikio la kushoto na kuanza kuzungumza nao kwa kumtaja KITI anataka nini na afanyiwe nini ..mazungumzo yanakuwa kwa upole mpaka tunafikia muafaka anarudi katika hali yake ya kawaida.....Hii ilikuwa hasa kama nimetoka kuchepuka huwa yalikuwa hayapendi sababu yanajuaga
2. Kuyakemea kwa Jina la YESU
Hali hii niliishi nayo almost 10 Years ya ndoa...mwanzo yalikuwa yananishinda nguvu baadaye nikayajulia manake wakati mwingine yanakuja katikati ya tendo la ndoa nikaona huu ni upuuzi
 
Nilishawahi kuoa mke ana majini na vituko vyake vilikuwa hivyohivyo...ila kuna njia mbili nilikuwa nazitumia kama yakitokea tukiwa wawili tu ;
1. Kumshika sikio la kushoto na kuanza kuzungumza nao kwa kumtaja KITI anataka nini na afanyiwe nini ..mazungumzo yanakuwa kwa upole mpaka tunafikia muafaka anarudi katika hali yake ya kawaida.....Hii ilikuwa hasa kama nimetoka kuchepuka huwa yalikuwa hayapendi sababu yanajuaga
2. Kuyakemea kwa Jina la YESU
Hali hii niliishi nayo almost 10 Years ya ndoa...mwanzo yalikuwa yananishinda nguvu baadaye nikayajulia manake wakati mwingine yanakuja katikati ya tendo la ndoa nikaona huu ni upuuzi
Hatimaye ulimuacha huyo mwanamke 😅 mbona hujamalizia
 
Majini yake yalikuwa na nguvu Kwa sababu dhamira yangu tayari ilikuwa imechafuka na uchu WA ngono.

Pia tulikuwa nusu uchi
Ukatae ukubali umetuaibisha wanaume kwa kushindwa kumgegeda warda na badala yake ukapiga yowe kuomba msaada [emoji23][emoji23]
 
wazee haya mambo yapo?
Sio hadithi ni live bila chenga imenitokea miaka kadhaa iliyopita, ni mwanamke aliyekamilika kila idara kiasi cha kumfanya mwanaume rijali aweze kumtazama kwa umakini wa hali ya juu. Binafsi sikuwa na nia ya kumtongoza ikatokea tunashinda pamoja mazingira fulani kikazi kiasi cha kuzoeana na kubadilishana namba, katika kuwasiliana nikahisi ana lake jambo ikaninilazimu nimfanyie upelelezi kwa wanaomfahamu.

Nikaambiwa huwa ana majini wawili wakorofi hatari sana nikawa nafanya niwezavyo kujiweka mbali naye, siku ya siku nipo na jamaa zangu tumetembelea mitaa ya kwao na yule mwanamke ndio tukashuhudia akiwa katembelewa na hao walimu wake wawili ......... Balaa lake sio kitoto, anabadilika sura linakuwa kama dubwasha la kutisha halafu sauti inayomtoka ni nzito na anakuwa na nguvu ambayo huwezi hata kufikiria. Baba yake mzazi ndio anamudu kuongea nao na kuwatuliza. Mikononi anavaa pete mbili ~ moja mkono wa kushoto nyingine mkono wa kulia rangi nyekundu na kijani. Kila Pete ni ishara ya mwalimu mmoja.

Baada ya maongezi ya kina sana alinishawishi nikamto.mbea maeneo ya Kinondoni hapo lakini siku ile sikulala usingizi hata chembe pamoja na yeye kujaribu kila namna kunitoa hofu kuwa hakuna tatizo alishawaomba hao walimu wake wakamruhusu kufanywa.

Kipindi Cha nyuma alikuwa akinipigia simu ananiambia nilipo kabla sijamwambia na ni kweli nakuwa hapo. Nilimpotezea mdogo mdogo kwa sasa hanitafuti mara kwa mara. Hao watu wapo na wanato.mbana utafikiri siku ya mwisho qqqqmmamamamaaaaaaqeeee, akikukalia mb0rlo ananyonga kiuno anakandamiza halafu anapiga yowe la mahaba kisha anatukana mitusi , unaweza hisi uBo0 unanyofokea kwa ndani usipokuwa mtundu anakuwin bao zote anachukua point tatu
 
Ukatae ukubali umetuaibisha wanaume kwa kushindwa kumgegeda warda na badala yake ukapiga yowe kuomba msaada [emoji23][emoji23]

😃😃😃

Mkuu nakubali nimewaangusha

Lakini Kwa Hali ilipofikia nilikuwa napambania Uhai sasa.

Wale washikaji waliokuja wenyewe chamoto walikipata.

Ilibidi tuwe Kama tunampiga, ingawaje niliwazuia wasimuumize
 
Mimi hakunambia habari za majini.

Ishu ilipoharibika ni harufu ya Udi.

Leo nimemuuliza Kwa nini hakunambia mapema, amenambia aliona ni mapema na hakutegemea Kama ingekuwa hivi
Wewe ni mutu wa hajabu thana, huyo demu almanusula aku mute halafu bado unamfuatilia hadi huko Kariuki, umarogwa bwashee sio bure
 
Sio hadithi ni live bila chenga imenitokea miaka kadhaa iliyopita, ni mwanamke aliyekamilika kila idara kiasi cha kumfanya mwanaume rijali aweze kumtazama kwa umakini wa hali ya juu. Binafsi sikuwa na nia ya kumtongoza ikatokea tunashinda pamoja mazingira fulani kikazi kiasi cha kuzoeana na kubadilishana namba, katika kuwasiliana nikahisi ana lake jambo ikaninilazimu nimfanyie upelelezi kwa wanaomfahamu.

Nikaambiwa huwa ana majini wawili wakorofi hatari sana nikawa nafanya niwezavyo kujiweka mbali naye, siku ya siku nipo na jamaa zangu tumetembelea mitaa ya kwao na yule mwanamke ndio tukashuhudia akiwa katembelewa na hao walimu wake wawili ......... Balaa lake sio kitoto, anabadilika sura linakuwa kama dubwasha la kutisha halafu sauti inayomtoka ni nzito na anakuwa na nguvu ambayo huwezi hata kufikiria. Baba yake mzazi ndio anamudu kuongea nao na kuwatuliza. Mikononi anavaa pete mbili ~ moja mkono wa kushoto nyingine mkono wa kulia rangi nyekundu na kijani. Kila Pete ni ishara ya mwalimu mmoja.

Baada ya maongezi ya kina sana alinishawishi nikamto.mbea maeneo ya Kinondoni hapo lakini siku ile sikulala usingizi hata chembe pamoja na yeye kujaribu kila namna kunitoa hofu kuwa hakuna tatizo alishawaomba hao walimu wake wakamruhusu kufanywa.

Kipindi Cha nyuma alikuwa akinipigia simu ananiambia nilipo kabla sijamwambia na ni kweli nakuwa hapo. Nilimpotezea mdogo mdogo kwa sasa hanitafuti mara kwa mara. Hao watu wapo

Hapa wataniona muongo Kwa sababu nimeelezea Kwa kutumia lugha ya Uandishi(Fasihi) ili Stori inoge
 
Wewe ni mutu wa hajabu thana, huyo demu almanusula aku mute halafu bado unamfuatilia hadi huko Kariuki, umarogwa bwashee sio bure

Mkuu Mwanzoni sikumjua Ila sasa hivi ndio ama zangu ama zake.
Majini hayawezi nizuia nisile Papuchi.

Ningeingia kwenye mgogoro na majini
M
 
Nilishawahi kuoa mke ana majini na vituko vyake vilikuwa hivyohivyo...ila kuna njia mbili nilikuwa nazitumia kama yakitokea tukiwa wawili tu ;
1. Kumshika sikio la kushoto na kuanza kuzungumza nao kwa kumtaja KITI anataka nini na afanyiwe nini ..mazungumzo yanakuwa kwa upole mpaka tunafikia muafaka anarudi katika hali yake ya kawaida.....Hii ilikuwa hasa kama nimetoka kuchepuka huwa yalikuwa hayapendi sababu yanajuaga
2. Kuyakemea kwa Jina la YESU
Hali hii niliishi nayo almost 10 Years ya ndoa...mwanzo yalikuwa yananishinda nguvu baadaye nikayajulia manake wakati mwingine yanakuja katikati ya tendo la ndoa nikaona huu ni upuuzi

Watakuambia ni chai
 
Back
Top Bottom