Nimenyonya titi lenye kidonda ila mimi sina kidonda mdomoni naweza kupata UKIMWI?

vidonda mdomoni havikosekani kwa binadamu labda kama hunywi chai
 
Sio rahisi sana .labda kama una vidonda kwenye ulimi au mdomoni na hata hvo ni very rare cases usiogope.
 
Kumwandaa nilimnyonya ziwa kumbe linakidonda ila nilitumia kinga baada ya kumnyonya nilitema mate mdomoni kwangu cna kidonda nilisukutua na maji kuhakikisha cna kidonda niliweka chumvi mdomon kihakiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kapime kujua status yako lakini subiri miezi mitatu huku gigantic ngono zembee
kwa yeyote atakae gonga dem ambae + au hujui afya yake ila kwa mihemuko yako uka gonga dry wahi kapate kinga ndani ya masaa 72 kituo chochote cha afya kinga hiyo inaitwa pep wengi wamenusurika
 
Mwaka jana ulifanya kosa kubwa sana aisee! zingatia doze lakini maisha ndo haya haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…