Nimeokota calculator la Samsung

Mshangazi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
1,143
Reaction score
4,462
Wakati nipo kwa matembezi yangu jioni hii kwenda kutafuta chimbo la kumaliza week. Nimeokota calculator kubwa halina vibonyezeo kwa mbele lakini ukibonyeza vitufe vya pembeni linawaka na kuandika "SAMSUNG powered by Android go edition" kisha linaomba pin.

Kwa mwenye nalo tafadhali pita maeneo yaleyale ulikolidondoshea maana naenda kuliweka palepale nilipolikuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…