Expert Judgement
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 442
- 730
Kuhusu uwekezaji usijali tutaanza na kilichopo mkononi! Hivi wale wazee waliokuwa wanafua chuma baada ya matumizi ya zana za mawe waliwekeza katika nn hasa?Weka picha tuone, picha iko wapi. Je wafahamu uwekezaji hadi uweze kuvuna iko chuma au utatumia jembe la mkono
Weka Picture Haraka Nipo Na Doto Biteko Nimuonyeshe HarakaKuhusu uwekezaji usijali tutaanza na kilichopo mkononi! Hivi wale wazee waliokuwa wanafua chuma baada ya matumizi ya zana za mawe waliwekeza katika nn hasa?
Avatar yko ya kifala SanaWakuu naomba mnisaidie mambo yahusuyo madini maana kuna sehemu nimeenda shambani Leo nimekuta kuna mwamba wa chuma baada ya kuutindua nimepata kipande cha jiwe LA chuma ambalo linashika sumaku...
View attachment 2124963
Nimwamba haswaa shamba lenyewe linalimwa kwa sululu... Kwahiyo mkuu nikienda kufanyia tafiti hilo jiwe wataaema niende na mwamba wote?Ungelikuwa umegundua mwamba wenye chuma labda ungelikuwa unanusa harufu ya pesa sasa...
Kama ni jiwe tu, huna tofauti na mtu aliyeokota msumari...
Haihusiani na madaAvatar yko ya kifala Sana
MPE hai na laizerWeka Picture Haraka Nipo Na Doto Biteko Nimuonyeshe Haraka
Hamna Kitu Hapo Hayo Hata Yawe Na Sumaku Ni Bure!!!MPE hai na laizerView attachment 2125098
Nitakukumbuka nikiwa na mgosi wangu maana chuma no dalili ya madiniHamna Kitu Hapo Hayo Hata Yawe Na Sumaku Ni Bure!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MPE hai na laizerView attachment 2125098
Asante kwa taarifa iliyokamilika mkuu inashabihiana na nilichokipata Leo offline nitafanyia kazi taarifa yako mkuu. Soon nitaenda Dodoma maabara nikapate kujua samplo zipo zenye uzito km kg 30 HV . shukranHiyo ni moja ya aina kuu mbili za madini chuma yaani Iron Ore.
Inaitwa Magnetite
Bei yake ni Tsh 50,000/= kwa tani moja. Hii ni bei ya mgodini.
Iron Ore ni Madini ambayo yapo mengi sana duniani na hutumika zaidi katika utengenezaji wa Steel.
Ili kujustify uchimbaji wa madini haya, itakubidi mwamba uwe mkubwa (Maelfu/Malaki/Mamillioni ya matani).
Pia percentage ya iron kwenye haya mawe iwe atleast 62%, na ili kujua hilo, peleka samples(zaidi ya moja) ya mawe hayo kwenye maabara za miamba (Dodoma ipo moja inaitwa GST Lab).
Kila la kheri.
Asante kwa taarifa iliyokamilika mkuu inashabihiana na nilichokipata Leo offline nitafanyia kazi taarifa yako mkuu. Soon nitaenda Dodoma maabara nikapate kujua samplo zipo zenye uzito km kg 30 HV . shukran
Asante mkuuiron and steel products, vanadium pentoxide and titanium dioxide.
Read more at: Liganga Iron Ore and Mchuchuma Coal Projects to Start in 2016 and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest
Nikweli hapo kwenye leseni maana serikali nayo haikawii kukuundia zegwe ynHakikisha sample unachukua maeneo tofauti tofauti.. Yaani usichukue samples zote kutoka eneo moja.
Pili, kabla haujaanza kuchimba hakikisha unaenda kukatia leseni ya Primary Mining License (PML) kabla wajanja hawajakuwahi.
Naitaji soko la magnetite niko nayo tani 150Hiyo ni moja ya aina kuu mbili za madini chuma yaani Iron Ore.
Inaitwa Magnetite
Bei yake ni Tsh 50,000/= kwa tani moja. Hii ni bei ya mgodini.
Iron Ore ni Madini ambayo yapo mengi sana duniani na hutumika zaidi katika utengenezaji wa Steel.
Ili kujustify uchimbaji wa madini haya, itakubidi mwamba uwe mkubwa (Maelfu/Malaki/Mamillioni ya matani).
Pia percentage ya iron kwenye haya mawe iwe atleast 62%, na ili kujua hilo, peleka samples(zaidi ya moja) ya mawe hayo kwenye maabara za miamba (Dodoma ipo moja inaitwa GST Lab).
Kila la kheri.