Wanasema ni mazuri kwa chipsi, na ukiyatumia yatakusaidia kuona cha mtema kuni.Habarini wakuu ,poleni na mihangaiko
Leo katika pita pita zangu shambani ,nimebahatika kuokota mayai ya bundi
Kwa wajuvi Wa mambo , nawiwa kuuliza hivi mayai ya bundi huliwa?
Au kama Kuna mtu anayataka kwa shughuli zake binafsi anitafute.
Wazo lililopo kichwani ,ni kwenda kuuza kwa waganga Wa jadi!!
Naomba kuwasilisha!!
#Rip Bandari
Dah, mkuu naomba nikupongeze.Habarini wakuu ,poleni na mihangaiko
Leo katika pita pita zangu shambani ,nimebahatika kuokota mayai ya bundi
Kwa wajuvi Wa mambo , nawiwa kuuliza hivi mayai ya bundi huliwa?
Au kama Kuna mtu anayataka kwa shughuli zake binafsi anitafute.
Wazo lililopo kichwani ,ni kwenda kuuza kwa waganga Wa jadi!!
Naomba kuwasilisha!!
#Rip Bandari
kuna mabothi cjui nkuelekeze wanapenda hayo makitu sema wapo darHabarini wakuu ,poleni na mihangaiko
Leo katika pita pita zangu shambani ,nimebahatika kuokota mayai ya bundi
Kwa wajuvi Wa mambo , nawiwa kuuliza hivi mayai ya bundi huliwa?
Au kama Kuna mtu anayataka kwa shughuli zake binafsi anitafute.
Wazo lililopo kichwani ,ni kwenda kuuza kwa waganga Wa jadi!!
Naomba kuwasilisha!!
#Rip Bandari
ππ Aposito noma sanaDah, mkuu naomba nikupongeze.
Hiyo habari usimwambie kila mtu, ushatoka kimaisha, maana wewe sio masikini tena. Nakushauri leo usilale hapo kijijini kwenu.
Yapo mangapi? Umekuta yamekaa kwa mpangilio gani?. Je uliyashika kwa mikono yako kabisa au ulitumia kitambaa?
Duu yako mawili ,nimeyashika kwa mkono by the way Huwa nalala town hapa ni shambani tuDah, mkuu naomba nikupongeze.
Hiyo habari usimwambie kila mtu, ushatoka kimaisha, maana wewe sio masikini tena. Nakushauri leo usilale hapo kijijini kwenu.
Yapo mangapi? Umekuta yamekaa kwa mpangilio gani?. Je uliyashika kwa mikono yako kabisa au ulitumia kitambaa?
Ukikosea ukaliangusha, likapasuka! Iwe KWA bahati mbaya ama kwa makusudi....Habarini wakuu ,poleni na mihangaiko
Leo katika pita pita zangu shambani ,nimebahatika kuokota mayai ya bundi
Kwa wajuvi Wa mambo , nawiwa kuuliza hivi mayai ya bundi huliwa?
Au kama Kuna mtu anayataka kwa shughuli zake binafsi anitafute.
Wazo lililopo kichwani ,ni kwenda kuuza kwa waganga Wa jadi!!
Naomba kuwasilisha!!
#Rip Bandari
Mkuu, kama uliyashika kwa mikono yako alaf ukajipangusa uso, basi umeisha. Tukupe pole tu.Du
Duu yako mawili ,nimeyashika kwa mkono by the way Huwa nalala town hapa ni shambani tu
Umejuaje ni ya bundi? Any way mtafute MshanaHabarini wakuu, poleni na mihangaiko.
Leo katika pita pita zangu shambani nimebahatika kuokota mayai ya bundi. Kwa wajuvi wa mambo nawiwa kuuliza hivi mayai ya bundi huliwa?
Au kama Kuna mtu anayataka kwa shughuli zake binafsi anitafute.
Wazo lililopo kichwani ni kwenda kuuza kwa waganga wa jadi. Naomba kuwasilisha!
#Rip Bandari
Jamani uncle πππππππMkuu, kama uliyashika kwa mikono yako alaf ukajipangusa uso, basi umeisha. Tukupe pole tu.
Fafanua mkuuMkuu, kama uliyashika kwa mikono yako alaf ukajipangusa uso, basi umeisha. Tukupe pole tu.
Ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume.Habarini wakuu, poleni na mihangaiko.
Leo katika pita pita zangu shambani nimebahatika kuokota mayai ya bundi. Kwa wajuvi wa mambo nawiwa kuuliza hivi mayai ya bundi huliwa?
Au kama Kuna mtu anayataka kwa shughuli zake binafsi anitafute.
Wazo lililopo kichwani ni kwenda kuuza kwa waganga wa jadi. Naomba kuwasilisha!
#Rip Bandari
Inabidi tumwambie ukweli mapemaJamani uncle πππππππ
Ataleta ushuhuda, wala usiwe na wasi wasi mkuuFafanua mkuu
Kaushaje