Jichanganye utakula za kichwandugu, mpaka hapo tuseme ushatoboa, hiyo ni moja wapo ya hazina za mjerumani
mpaka nakuoneona wivu mzee, hapo sio chini ya million 77 unayo
Mbona unamvunja moyo mdau /kuna haja ya kuwa na paypal kwa Tanzania yetu, vitu kama hivi unatangaza na unauza popote duniani na Pesa yako inaingia kwenye simu yakoMpaka umeokota maana yake imetupwa na aliyeitupa ameona haina Cha maana na wewe itupe tu.
Kwahiyo na mimi niliyeokota simu Samsung leo asubuhi baada ya kisikia ikiita niitupe!Mpaka umeokota maana yake imetupwa na aliyeitupa ameona haina Cha maana na wewe itupe tu.
Ooh, kumbe King George alikuwa mjerumani! Kwa mtindo huu ndiyo maana CCM inaendelea kutawala bila kutegemea kura.ndugu, mpaka hapo tuseme ushatoboa, hiyo ni moja wapo ya hazina za mjerumani
mpaka nakuoneona wivu mzee, hapo sio chini ya million 77 unayo