Nimeokota vyeti vya Baraka D Ninarwo, anayemfahamu Tuwasiliane

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
0767662486
 
Asante mkuu kwa taarifa. Ungeongezea details kidogo labda ni vyeti vya namna gani,uliviokota wapi etc etc.
 
hongera sana mkuu kwa uaminifu. Tanzania inahitaji watu wenye moyo kama wa kwako.
 
Nimejaribu kufukunyua GOOGLE nikapata kumjua huyu mtu japo kidogo.
Baraka D. Ninarwo inaonekana ni mwenyeji wa mkoa wa Iringa na kasomea huko.

O-level: Tumaini sec 2009

A-level: Ikizu sec 2012

Teaching: Klerruu college 2014

Jkt: Burombora-kigoma 2015.
 
Last edited by a moderator:
Hongera kwa moyo, nitakuunganisha na wale vijana 3 waliotembea kutoka Kigoma mpaka magogoni kwa kigezo cha uzalendo.
 
Za jioni ! Kuna mtu kaokota vyeti vya shule na chuo vya Ndg. BARAKA D. NINARWO kwa yeyote anayemfahamu amwambie apigie simu no. 0767 66 24 86 ili apewe vyeti vyake NILIIPATA HII MSG IKITUSIHI TUWATANGAZIE ILI TUMSAIDIE JAPO SIJAOKOTA MIMI
 
Za jioni ! Kuna mtu kaokota vyeti vya shule na chuo vya Ndg. BARAKA D. NINARWO kwa yeyote anayemfahamu amwambie apigie simu no. 0767 66 24 86 ili apewe vyeti vyake
 
Kuna post humu inaendelea inahusu vyetj vya mtu huto huyo
 
Hongera sana kwa hili ulilolifanya kwani watz tulio wengi kwenye masuala haya huwa hatujali kabisa unaweza kukuta vyeti vya mtu vinafungiwa chapati na maandazi kitaa. Big up mkuu!
 
Mkiwepo kumi km ww.....hatutakuwa na akina Prof Muhogo sijui Muongo
 
Za jioni ! Kuna mtu kaokota vyeti vya shule na chuo vya Ndg. BARAKA D. NINARWO kwa yeyote anayemfahamu amwambie apigie simu no. 0767 66 24 86 ili apewe vyeti vyake NILIIPATA HII MSG IKITUSIHI TUWATANGAZIE ILI TUMSAIDIE JAPO SIJAOKOTA MIMI
Kaka asante sana... Mungu akubariki ni vyeti vyangu ila akili imeniruka sana.... Nivumilie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…