katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
- Thread starter
- #141
Eh watakaje oa wewe malaika mwenyewe unasura mbovu kama dampooMatatizo ya kuoa mahausigeli haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eh watakaje oa wewe malaika mwenyewe unasura mbovu kama dampooMatatizo ya kuoa mahausigeli haya.
Inaonekana bado unanuka maziwa uliyonyonya ukiwa mdogo!Kuna kajamaa kananitaka niachie ngazi kwa mume wangu. Yaani niwe naye kama mke na mume nimuache mume wangu niliyenaye sasa hivi. Ni hivi nilienda supermarket kwa mkijana mmoja mzuri sana mrefu wastani na anavutia .
Sisi wadada tunapenda matunzo na pesa kweli anajitoa. Shida hajui na mume mie KATOTO KAZURI KAWATU. Sasa siku moja mume wangu akaungusha picha akaniambia twende shopping wote (supermarket ya jamaa anayenifukuzia ) sijui alisanuka kwamba katoto kanaibiwa (ambaye ni mimi )nanikasukari si chumvi basi tukaenda huko kwa huyu mchepuko wangu kazuri kadogo kanasix paki kazuri eti.(mwenye supermarket).
Kaarabu(mwenye supermarket) wala sio koko basi but ni mwarabu kabisaa. Mume wangu kaanza visa vya mwenye punda ), baby njoo nataka hiki njoo vile njoo hivi humo supermarket kwa jamaa alikuwa ananiganda I mean mume wangu
Yule kaka akamezea mate vyote Mume wangu alivyokuwa anafanya huko supermarket kwa jamaa. Mume wangu alilipa makusudi vitu vyote tulivyonunua na kumwachia tipu kuwa asinizoe mie mke wa mtu hajanishindwa kwa matunzo akae mbali. Mwonyeshelea vituko mara kisses nakubanana kama ndizi na akasema hivi ,( mume wangu huyo ) huyu ni mke wangu akija hapa tafadhali jua ni mke wa mtu .
Yule kaka akadai sawa bossy (mwenye supermarket). Tukaondoka
Leo nilikuwa naenda mjini akanisimamisha akaniambia na mazungumzo na wewe. Dah jioni narudi na kababy kangu wee akasema aniue, anichinje ila MKE WA MTU MTAMU NITAFAITI HATA NILE TUNDA NITAFANYA KILA KITU NIKUPATE.
Nisaidieni ndoa haina hata kamiaka ni mwaka na hao wakina zero minded hao wanasumbua .
Sitaki shombo hapa, ngoja nijikate kislesi.Eh watakaje oa wewe malaika mwenyewe unasura mbovu kama dampoo
Hueleweki hata unazungumzia nini.
Wakuu muwe mnaandaa akili zenu mkitaka kuweka uzi humu maisha yatuumize kichwa mpka thread nazo.
Yaani mna bahati sana mimi sio Moderator [emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Ebu jikaze wewe unamdekea Nani? Mada zako zakisenge sengeeee
Wa kumshauri hapa ni mumeo sio wewe. Sijui alijicchanganya vipi kuoa kahaba. Sio kila mwanamke ni wa ndoaKuna kajamaa kananitaka niachie ngazi kwa mume wangu. Yaani niwe naye kama mke na mume nimuache mume wangu niliyenaye sasa hivi. Ni hivi nilienda supermarket kwa mkijana mmoja mzuri sana mrefu wastani na anavutia .
Sisi wadada tunapenda matunzo na pesa kweli anajitoa. Shida hajui na mume mie KATOTO KAZURI KAWATU. Sasa siku moja mume wangu akaungusha picha akaniambia twende shopping wote (supermarket ya jamaa anayenifukuzia ) sijui alisanuka kwamba katoto kanaibiwa (ambaye ni mimi )nanikasukari si chumvi basi tukaenda huko kwa huyu mchepuko wangu kazuri kadogo kanasix paki kazuri eti.(mwenye supermarket).
Kaarabu(mwenye supermarket) wala sio koko basi but ni mwarabu kabisaa. Mume wangu kaanza visa vya mwenye punda ), baby njoo nataka hiki njoo vile njoo hivi humo supermarket kwa jamaa alikuwa ananiganda I mean mume wangu
Yule kaka akamezea mate vyote Mume wangu alivyokuwa anafanya huko supermarket kwa jamaa. Mume wangu alilipa makusudi vitu vyote tulivyonunua na kumwachia tipu kuwa asinizoe mie mke wa mtu hajanishindwa kwa matunzo akae mbali. Mwonyeshelea vituko mara kisses nakubanana kama ndizi na akasema hivi ,( mume wangu huyo ) huyu ni mke wangu akija hapa tafadhali jua ni mke wa mtu .
Yule kaka akadai sawa bossy (mwenye supermarket). Tukaondoka
Leo nilikuwa naenda mjini akanisimamisha akaniambia na mazungumzo na wewe. Dah jioni narudi na kababy kangu wee akasema aniue, anichinje ila MKE WA MTU MTAMU NITAFAITI HATA NILE TUNDA NITAFANYA KILA KITU NIKUPATE.
Nisaidieni ndoa haina hata kamiaka ni mwaka na hao wakina zero minded hao wanasumbua .
utajifunza lini kuandika kilaza wewe, hamna thread ambayo umewahi kuianzisha humu jf ikaeleweka unaandika utafikiri hujawahi hata kupitia shule ya vidudu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Siku nyingi sijacheka humu jf
Comment za humu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kanakeraga Sana haka kashamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ambaye anakuandikia alipaswa aandikie vizuri hayo ni makosa. Nakushauri endelea kusoma utapanua akili acha kupanua miguu tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]How old are you katoto kazuri?, umeshafanya home works mlizopewa shule?
Kanakeraga Sana haka kashamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Sijawai kukomenti nyuzi zake huu ndio wa kwanzaKawoli ni wa kusoma na kuacha tu [emoji23]