Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Yaani nimecheka mimi jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku nyingi sijaona nyuzi za hivii [emoji23][emoji23][emoji23] na michambo juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nimecheka mimi jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku nyingi sijaona nyuzi za hivii [emoji23][emoji23][emoji23] na michambo juu
Vya kuhongwa, vitakufikisha pabaya. Umke wa mtu, kwa nini utoe nafasi ya kuhongwa, kwa nini umpe hata muda wakumsikiliza akikuita na kukuambia kuwa hajali vitisho vya mumeo, mpaka akupate?Itakuwa shida leo tamu kesho usumbufu kesho nasema kwa jamaa usipokuja.
Nani hajui hao ni wapita njia hao nikuwachezea tu wake za watu wewe sipendi kuliwa kimasihara.
Na mafala kama hao .
Nitastiki na babyfather wangu ni mzee anajiheshimu ananipenda sana mme wangu ni very kind person halafu mtu mwenye masifa hivyo niende kwa kachovu kana supermarket na mandevu kama alshbabu kanamiliki Ist shit .
Weee atanihonga mpaka afunge hicho kisupermarket hii imemilikiwa
Hapo ni umenisuta nanimesutika basi sina chakusema nimejifunzaVya kuhongwa, vitakufikisha pabaya. Umke wa mtu, kwa nini utoe nafasi ya kuhongwa, kwa nini umpe hata muda wakumsikiliza akikuita na kukuambia kuwa hajali vitisho vya mumeo, mpaka akupate?
Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app
Haahaaa ipi hiyo??Na wacwac kama umemeza dawa leo
Hapa nchi hii sina chama na hicho sikielewagi so nitoe huko.
Vizuri usikoment tena ni bora upoteeSijawai kukomenti nyuzi zake huu ndio wa kwanza
Haahaaa ipi hiyo??
Ushauri wa maana ndio huu na kuna wengine wamenishauri mambo ambayo hata kiherehere changu kimekata .Dada fikiri kabla ya Kutenda mgeni una uwezo wa kumlisha chakula cha thamani kwa zile siku ambazo atakuwa mgeni tu ,ugeni ikiisha dona na tembele linaendelea kama kawaida, najua umeelewa
Najua huna chama ila mawazo yako yanapatikana sana ufipa.Hapa nchi hii sina chama na hicho sikielewagi so nitoe huko.
Usiwaze mkuu vyuo na advance ndio zimefunguliwa ko tegemea mengi...Hueleweki hata unazungumzia nini.
Wakuu muwe mnaandaa akili zenu mkitaka kuweka uzi humu maisha yatuumize kichwa mpka thread nazo.
Writing skills inakusumbua sana. Kaza butiKuna kajamaa kananitaka niachie ngazi kwa mume wangu. Yaani niwe naye kama mke na mume nimuache mume wangu niliyenaye sasa hivi. Ni hivi nilienda supermarket kwa mkijana mmoja mzuri sana mrefu wastani na anavutia .
Sisi wadada tunapenda matunzo na pesa kweli anajitoa. Shida hajui na mume mie KATOTO KAZURI KAWATU. Sasa siku moja mume wangu akaungusha picha akaniambia twende shopping wote (supermarket ya jamaa anayenifukuzia ) sijui alisanuka kwamba katoto kanaibiwa (ambaye ni mimi )nanikasukari si chumvi basi tukaenda huko kwa huyu mchepuko wangu kazuri kadogo kanasix paki kazuri eti.(mwenye supermarket).
Kaarabu(mwenye supermarket) wala sio koko basi but ni mwarabu kabisaa. Mume wangu kaanza visa vya mwenye punda ), baby njoo nataka hiki njoo vile njoo hivi humo supermarket kwa jamaa alikuwa ananiganda I mean mume wangu
Yule kaka akamezea mate vyote Mume wangu alivyokuwa anafanya huko supermarket kwa jamaa. Mume wangu alilipa makusudi vitu vyote tulivyonunua na kumwachia tipu kuwa asinizoe mie mke wa mtu hajanishindwa kwa matunzo akae mbali. Mwonyeshelea vituko mara kisses nakubanana kama ndizi na akasema hivi ,( mume wangu huyo ) huyu ni mke wangu akija hapa tafadhali jua ni mke wa mtu .
Yule kaka akadai sawa bossy (mwenye supermarket). Tukaondoka
Leo nilikuwa naenda mjini akanisimamisha akaniambia na mazungumzo na wewe. Dah jioni narudi na kababy kangu wee akasema aniue, anichinje ila MKE WA MTU MTAMU NITAFAITI HATA NILE TUNDA NITAFANYA KILA KITU NIKUPATE.
Nisaidieni ndoa haina hata kamiaka ni mwaka na hao wakina zero minded hao wanasumbua .
Sawa bhana ila poa nawewe ukipata shida nakupa makubwa hujawahi simuliwaKajiuliza mwenyewe na kajijibu mwenyewe nyambafu .........unataka tuumize kichwa kukuretea mwalimu wa la pili b aje kufundisha kutunga sentensi
Wewe toa ushauri chapa mwendo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aliyemuelewa anieleweshe mi nalala jomoni usikumwema