Ndoa zina changamoto zake mdogo wangu. Lakini hii ya kumtamani Kichaa kwa sababu ya ukubwa wa dudu lake Ina maana huyu dada akimuona Punda huwa analowa kabisa na kutafuta tambala la deki. Wanaume tuna mitihani sana wandugu.Thread zingine zinafanya tuliopanga kuoa siku za karibuni tuendelee kusubiri kwanza huenda mola akatujalia moyo wa uvumilivu. Ushauri kwa wanaotaka kuoa hasa wakristu, hakikisha una moyo wa kusamehe hata kama ukimfuma mkeo live uwe na uwezo wa kusamehe. Nahisi asilimia 99 ndo zote zimejaa usaliti.
Ah ah ah ah ah uhiii jmn uckate tamaaahuu mwaka natamani sana nioe!, ila ninapokutana na threads kama hizi huwa nachoka na kuregea kabisa. Sijui niarishe tu! kweli naamini TUNAOA KWA IMANI kama tulivyopokea wokovu! lasivyo mbele hatusongi!!!!. Nyeti hazina ukichaa: ukichaa wa mtu ni baadhi ya viungo tu! na wala si viungo vyote vimeathiriwa. inavyoonyesha kama umefuga nguruwe huko kwako basi utakuja kumtamani hata nguruwe kwakuwa ana dudu ndefu!!!!!!
The secret of marriage " don't take every thing seriously "Aisee wanandoa wanabeba siri nzito sana.
Ah ah ah ah ah uhiii jmn uckate tamaaa
Mi nataka nimsaidie aisje akapata aibu na kuhama mjiUna kauzoefu cha google.. Nadhani at a kupm soon
Duuh!! Hatari sanaWadau shalom,
Tunaelekea miezi 2 sasa tangu tuamie kwenye nyumba yetu, ni sehemu ambayo bado haijajengwa sana, nyumba nyingi bado hazijaisha ni masaiti yanayokaliwa na walinzi, mimi na mr wote tumeokoka pamoja na familia kwa ujumla, tunampenda Yesu.
Sasa katika moja ya masaiti haya kuna jengo moja halijaisha ni kama halina wakazi vile, ila hukaa kichaa mmoja anaekula majalalani na kushinda uchi, na hapo ndio njia yangu ya kupita kila siku, kila nikipita hapo hasa jioni sana nikitoka kazini huwa namkuta kichaa huyu akiwa anajichua bila aibu, anatema mate mkononi na kujipaka nyeti huku akilia kwa sauti kubwa.
Sasa nimeshtukia nashikwa hamu na hisia kali za kutaka kukutana na kichaa huyo, hasa nikimuona uchi, maana ana nyeti kubwa mno zenye kichwa kikubwa mno, hali hii inaweza kunikuta hata nikiwa kazini endapo nitamuwazia yule kichaa.
Sasa sijui ni kwasababu ya kumtazama sana au la nimeshtuka kumuona akianza tabia ya kuniita kwa ishara na kunioneshea nyeti zake, haishii hapo ameanza kufika na kwangu na kugonga geti, wakienda kufungua wanakuta ni yeye na haongei chochote anasimama tu hapo hata saa nzima ndipo anaenda na ni kila siku, mr anasema muacheni tu kwani ana madhara gani.
Ile hali ya kumtamani ndio naona kama inazidi siku hadi siku.
Je hili ni pepo au nini?Nimeomba sana lakini wapi.
Nifanye nini kuondokana na hali hii? Ili isije ikaleta matatizo yasiyotarajiwa.Nimeamua kulileta huku hili tatizo maana huku hamna kufahamiana.
Asanteni
Sidhani kama kweli maana halisi ya wokovu unaijua kuokoka ni kukubali kutengwa mbali na dhambi zote lakini pia ukimruhusu Roho mtakatifu atawale maisha yako na kuvitiisha viungo vyako vyote vya mwili chini ya himaya yake.Wadau shalom,
Tunaelekea miezi 2 sasa tangu tuamie kwenye nyumba yetu, ni sehemu ambayo bado haijajengwa sana, nyumba nyingi bado hazijaisha ni masaiti yanayokaliwa na walinzi, mimi na mr wote tumeokoka pamoja na familia kwa ujumla, tunampenda Yesu.
Sasa katika moja ya masaiti haya kuna jengo moja halijaisha ni kama halina wakazi vile, ila hukaa kichaa mmoja anaekula majalalani na kushinda uchi, na hapo ndio njia yangu ya kupita kila siku, kila nikipita hapo hasa jioni sana nikitoka kazini huwa namkuta kichaa huyu akiwa anajichua bila aibu, anatema mate mkononi na kujipaka nyeti huku akilia kwa sauti kubwa.
Sasa nimeshtukia nashikwa hamu na hisia kali za kutaka kukutana na kichaa huyo, hasa nikimuona uchi, maana ana nyeti kubwa mno zenye kichwa kikubwa mno, hali hii inaweza kunikuta hata nikiwa kazini endapo nitamuwazia yule kichaa.
Sasa sijui ni kwasababu ya kumtazama sana au la nimeshtuka kumuona akianza tabia ya kuniita kwa ishara na kunioneshea nyeti zake, haishii hapo ameanza kufika na kwangu na kugonga geti, wakienda kufungua wanakuta ni yeye na haongei chochote anasimama tu hapo hata saa nzima ndipo anaenda na ni kila siku, mr anasema muacheni tu kwani ana madhara gani.
Ile hali ya kumtamani ndio naona kama inazidi siku hadi siku.
Je hili ni pepo au nini?Nimeomba sana lakini wapi.
Nifanye nini kuondokana na hali hii? Ili isije ikaleta matatizo yasiyotarajiwa.Nimeamua kulileta huku hili tatizo maana huku hamna kufahamiana.
Asanteni
Inabidi amuombee hivo hivo aokoke kama yeye, ili isiwe tabu kumpa papuch yake, mana keshapenda dushe lake! Ikitokea sasa akampelekea jamaa akang'ang'ania hiyo papuch au atasema kabakwa...teh teh!!Mkuu umenifanya nicheke!!!# sasa atamwombeaje wakati ameshatamani ukuni wake!!! Akipiga goti akafunga macho atawaza kuomba au picha ya huo ukuni aliodai una kichwa kikubwa itamjia!!!?#na atashindwa kufocus.
Muombe Mungu. Sio ndoa zote mbaya zingne nzurimnatuvunja mioyo! maana wengne tuna roho nyepesi sana
Dah umeniwahi maana Ile sentensi ya kuokoka Na kumpenda mwokozi halafu tena anasifia maumbile ya Jamaa Ni hatari.