Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Aisee wanandoa wanabeba siri nzito sana.
 
kitu kimoja Ni hakika katika hii stori, shemeji yetu ana maumbile madogo na Kichaa ana maumbile makubwa
 
Hovyo kweli we dada na tamaa zako za mwilini...usitumie Jina la Yesu km kichaka chako chakuficha roho zako za BABELI...Wewe ni SHETANI KATIKATI YA UZAO WA KIBINADAM..Biblia inasema UTUKUFU JUU MBINGUNI NA AMANI IWE DUNIANI KWA WATU WALIORIDHIWA....Dada hujaridhiwa na Yesu wala huna hadhi yakuitwa mtoto wa Mungu...kwani Mungu hapendi watoto wajinga..na ndio maana ninaujasiri wakusema huo ulio nao sio mtihani wala jaribu...hilo ni asili yako na uzao wako lazma mfanye hivyo..na ukifanya wala hutakuwa na dhambi kwasababu umetimiza ibada yako halisia.

Jambo jingine naomba kukukanya...usirudie tena kuita Neno SHALOOM...hili ni Jina la Mungu pekee...na halitajwi ktk uchafu wa namna hii..Biblia imeandika KILA ANAYE LIITIA JINA LA BWANA NA AACHE UOVU.huna sifa yakuitwa mwana Wokovu Wala kujiita UMEOKOKA.
 
We naona una roho mtaka vitu hahahaaaaaa muite akusukumie nyama
 
Ipende ndoa yako kama Yesu kristo alivyolipenda kanisa.

Ati umeokoka?...no huko umejificha wewe
 
dude i feel you, yaani dah pamojamna kwamba kila situation ni unique ila numbers don't lie maana yake kama asilimia kubwa ni majanga ina maana hata ww ukioa ni hivyo maana jamiimtunayoishi ndio hii hii.Wacha niendelee kuwa boyfriend tukwa muda...japo wenyewe wana push hao wanataka kuolewa balaaa.

d
kuna wakati utachoka kuwa "boyfriend" utatamani uitwe mume a.k.a baba! hapo ndipo utamu utakapoanza kuucheza
 
We mwenyewe mbovu unatafuta mke mwema wa nini?unaogopa wanawake kwani wote wapo sawa?mbona we short coming kibao hapo bado watu wanakuvumilia?we sio muoaji kaa kando,

sawa "akili ya kuambiwa changanya na ya kwako. Unawajua wanawake wewe? au umewekwa kwenye chupa!
 
Mwombea naye huyo kichaa aokoke...
Mkuu umenifanya nicheke!!!# sasa atamwombeaje wakati ameshatamani ukuni wake!!! Akipiga goti akafunga macho atawaza kuomba au picha ya huo ukuni aliodai una kichwa kikubwa itamjia!!!?#na atashindwa kufocus.
 
Hakuna ulevi mbaya duniani kama kulewa dini. Huyu mwenzetu kajipambanua bayana na kuonyesha nini anapitia. Waliolewa dini wanamsakama pasipo sababu yoyote. Kila siku nasema "hakuna alie Mtakatifu wala mdhambi", sisi tupo sawa.

Nakushauri dada yangu tafuta maarifa ili jaribu hili ulihishinde. Umefanya maombi sawa lakini waone na wataalam wa masuala ya saikolojia.

Epuka kupita hiyo njia na ikiwezekana badili ratiba.

"Bwana usitutie majaribu lakini utuokoe na yule mwovu "
 
Kumbuka wapiga puli wengi hawana nguvu za kiume.
Puli linazimaliza sana.. Zaidi huyo mama atachafuliwa tu.. Mpiga puli ashazoea joto la kiganjani na vuguvugu la mimate yake, akikutana na joto la sweet papuchi respected all over the world akiingiza tu anamaliza hapo hapo,kujenga hema hapo hadi kesho yake... Mwanamke atakuwa hajamaliza haja zake.. Au atainyonya ili isimame? Kumbuka anasex na kichaa.. Namshauri kama ana ham ya dubwasha ani pm au atulizane aache kujitafutia stress za maisha
Una kauzoefu cha google.. Nadhani at a kupm soon
 
Wadau shalom,

Tunaelekea miezi 2 sasa tangu tuamie kwenye nyumba yetu, ni sehemu ambayo bado haijajengwa sana, nyumba nyingi bado hazijaisha ni masaiti yanayokaliwa na walinzi, mimi na mr wote tumeokoka pamoja na familia kwa ujumla, tunampenda Yesu.

Sasa katika moja ya masaiti haya kuna jengo moja halijaisha ni kama halina wakazi vile, ila hukaa kichaa mmoja anaekula majalalani na kushinda uchi, na hapo ndio njia yangu ya kupita kila siku, kila nikipita hapo hasa jioni sana nikitoka kazini huwa namkuta kichaa huyu akiwa anajichua bila aibu, anatema mate mkononi na kujipaka nyeti huku akilia kwa sauti kubwa.

Sasa nimeshtukia nashikwa hamu na hisia kali za kutaka kukutana na kichaa huyo, hasa nikimuona uchi, maana ana nyeti kubwa mno zenye kichwa kikubwa mno, hali hii inaweza kunikuta hata nikiwa kazini endapo nitamuwazia yule kichaa.

Sasa sijui ni kwasababu ya kumtazama sana au la nimeshtuka kumuona akianza tabia ya kuniita kwa ishara na kunioneshea nyeti zake, haishii hapo ameanza kufika na kwangu na kugonga geti, wakienda kufungua wanakuta ni yeye na haongei chochote anasimama tu hapo hata saa nzima ndipo anaenda na ni kila siku, mr anasema muacheni tu kwani ana madhara gani.

Ile hali ya kumtamani ndio naona kama inazidi siku hadi siku.

Je hili ni pepo au nini?Nimeomba sana lakini wapi.

Nifanye nini kuondokana na hali hii? Ili isije ikaleta matatizo yasiyotarajiwa.Nimeamua kulileta huku hili tatizo maana huku hamna kufahamiana.

Asanteni
Kapime akili dada Kezia, inawezekana wewe ndio Kichaa kuliko huyo unayemtamani. Maana huku unakoelekea sitoshangaa siku ukituletea mrejesho kwamba umejikuta ukisimamisha gari na kwenda kuunyenyekea huo Uume unaokutoa mate MKE wa mtu.
 
Back
Top Bottom