Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Duuuh wewe ndio unaonekana kichaa.......huwezi kua n feeling n kichaa kma nawe sio kichaa.....maana vichaa huwa mnajuana kwanini usihamie hapo kwake mjenge familia yenu ya vichaa......wanaume tuna kazi hii kuoa m2 mmekutana 2 kijuujuu ni hatari ndio unakuja kuoa mke kichaa kma huyu
 
Kwa hiyo unamshauri mtoa mada aliwe tigo na mmewe, coz umesema kwenye lile tendo asiweke ulokole yani wafanye mpaka washibe kabisa..samahani lakini miss chagga
Hujanisoma Miss Chagga. rudia tena. hakuna mahali pa tigo ila akijilia vyake ale hadi ashibe ili kumepusha na vinjaa njaa vya kuwa na macho mbalbu shingo ....
 
Hapo jambo la muhimu ni kubadili njia tu na kumuona huyo kichaa kama "takataka" (japo ulokole unafundisha upendo kati yetu).
Hahahaaa..... basi anamtihani mgumu sana, ajitahidi pia kumpata mwana Saikolojia kwa ushauri zaidi.
 
Ombeni nanyi mtapewa

Bisheni nanyi mtafunguliwa

Tafuteni nanyi mtaona

Kipenda roho mama hula nyama mbichi kwa ushauri wangu ipe roho kitu inapenda ww fika kwa jamaa jichojoe nguo zote malizana nae rudi nyumbani utamu utakao upata hutaacha kurudi tena na atakushughulikia vizuri huta amini acha kuchezea Fursa wewe kichaa ni wako.....

Sikia Kichaa alikuwa anamuomba Mungu apate mwanamke ambae atamridhisha siku na aachane na kujichua maombi yake yamejibiwa kupitia wewe na wewe umefunuliwa pia! Usibishane na Mungu mpe kichaa haki yake kulingana na Maombi aliyo Omba

Kila la kheri
 
wengi wa hawa bandugu wanaojiita walokole siku ya hukumu watakuwa ndo kuni ya kuwachoma waovu wengine.....
 
Inawezekana pia huridhishwi na mmeo tamaa imewaka kwako sana .Huyo kichaa atakubaka jitahidi kubadili njia au kujiweka mbali nae next time akija getini mmeo ndiye afungue amfokee au kumtishia huyo kichaa ataona hayo sio mazingira rafiki tena kwake.
Usiwe Mwalimu wewe, Bali mumeo (kama unaye wa ndoa) ndiyo awe Mwalimu!
wanilipe lakini
 
Nunua dildo.
Ukajitimizie mahitaji yako mwenyewe
Kwa raha zako bila ya mtu kujua.

Na kujiepusha na majanga yote haya .
Ushauri mwingine mh! Ni sawa na kuruka majivu na kukanyaga mkaa wa moto! Kumbuka huyu ameokoka!
 
Mleta mada, post hii niliisoma mchana!, bado nafikiria namna murua! ya kukujibu!, hebu tuondoke namna hii! kwenda pm! siri kwangu mzigoo! nautua leo au majogoo! to u beloved one!
 
Pole sana mtoa Uzi kwa tatizo lako. Wapo waliokubeza, hao uwasamehe tu! Kumbuka Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi na wote ni wenye dhambi japo wengine hawakubali kukiri dhambi na udhaifu wao hivyo Yesu hawezi kuwasaidia na atawaumbua siku ya mwisho!
Endelea kuomba na kufunga na kusoma Biblia hatimaye utashinda! Hilo ni jaribu lako na si la ajabu, na wengine wana ya kwao hata kama hawajafunguka kama wewe na hata kama wana majaribu tofauti lakini majaribu yote chanzo chake ni shetani! Ni kukosa ufahamu kucheka jaribu la mwenzako wakati na wewe unalo la kwako na wote mnapaswa kushinda! La msingi ni kuombeana!
 
Ukiona mtu katupia thread lakini hashiriki comments wala kujibu hoja za watu, most likely ni muongo na alichoandika ni chai ya mchaichai tu.
Inawezekana pia kuwa ameshindwa kuhimili kashfa ya baadhi ya watu kama vile "mumeo ana kibamia"
 
Huyo kichaa ni unasetiwa na shetani au wachawi wakuvunjie furaha katika maisha yenu na kuwapunguzia imani kwa Mungu. Ukiduiwa nae ni mwanzo wa anguko lako na wote.

Ukimuonja tu atasema kila kitu utashangaa, vichaa ni wakuheshimiwa wana muono pia acha tu. Na akikupa kimba ndio hataondoka getini kwako.
 
Tatizo lake apeleke jukwaa LA Imani, aombewe mapepo ya tamaa mbaya, kutoridhika ndoani na kukosa kinyaa Na zinaa zozote! ndo mapungufu take. Afunge sana Naye akiomba Mungu atamsikia! Yaani ni Aibu mke WA MTU kummendea kichaa mchafu mwenye rasta KILA eneo isipokuwa kope tu!
 
Wadau shalom,

Tunaelekea miezi 2 sasa tangu tuamie kwenye nyumba yetu, ni sehemu ambayo bado haijajengwa sana, nyumba nyingi bado hazijaisha ni masaiti yanayokaliwa na walinzi, mimi na mr wote tumeokoka pamoja na familia kwa ujumla, tunampenda Yesu.

Sasa katika moja ya masaiti haya kuna jengo moja halijaisha ni kama halina wakazi vile, ila hukaa kichaa mmoja anaekula majalalani na kushinda uchi, na hapo ndio njia yangu ya kupita kila siku, kila nikipita hapo hasa jioni sana nikitoka kazini huwa namkuta kichaa huyu akiwa anajichua bila aibu, anatema mate mkononi na kujipaka nyeti huku akilia kwa sauti kubwa.

Sasa nimeshtukia nashikwa hamu na hisia kali za kutaka kukutana na kichaa huyo, hasa nikimuona uchi, maana ana nyeti kubwa mno zenye kichwa kikubwa mno, hali hii inaweza kunikuta hata nikiwa kazini endapo nitamuwazia yule kichaa.

Sasa sijui ni kwasababu ya kumtazama sana au la nimeshtuka kumuona akianza tabia ya kuniita kwa ishara na kunioneshea nyeti zake, haishii hapo ameanza kufika na kwangu na kugonga geti, wakienda kufungua wanakuta ni yeye na haongei chochote anasimama tu hapo hata saa nzima ndipo anaenda na ni kila siku, mr anasema muacheni tu kwani ana madhara gani.

Ile hali ya kumtamani ndio naona kama inazidi siku hadi siku.

Je hili ni pepo au nini?Nimeomba sana lakini wapi.

Nifanye nini kuondokana na hali hii? Ili isije ikaleta matatizo yasiyotarajiwa.Nimeamua kulileta huku hili tatizo maana huku hamna kufahamiana.

Asanteni
Halafu nyie walokole nuksi kweli kweli. Ndio maana mnazaa ovyo.
Kambafff.
Umempokea Yesu wa vingunguti au Yesu yupi?
Jimama zima huna maana hata kidogo.
 
Kuokoka ni kutubu dhambi kwa maana ya kuziacha na kumpokea Yesu moyoni kama Bwana na mwokozi wako. Yesu ana uwezo wa kusamehe dhambi na kukusaidia kuziacha.
Anakusamehe dhambi zipi wakati alikufa kwa dhambi zote?
Mbona mnatuchanganya nyie?

we endelea tu kufanya dhambi Yesu alishamaliza kila kitu. Padri ndio alinambia hivyo.
 
Back
Top Bottom