Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Ni sawa. Lakini amekosea sehemu ya kuomba ushauri. Humu kuna watu wa kila aina..na ninaamini walokole ni wachache ukilinganisha na wasio walokole. Dini pia zipo tofauti humu jf. Amekosea sehemu ya kuomba ushauri...mi nadhani angestick huko huko kwenye ulokole, ushauri atafute huko huko. Kuna watu hata hawajui ulokole ni kitu gani so hawawezi kumshauri vizuri..sana sana atapata negative comments tu ambazo zinazidi kumpeleka kwa shetani.
Asikupasue KICHWA Chako Huyo, Hana Cha Ulokole Wowote, Ni Muuza Ngini Tu!!!
 
Tupe mrejesho wa leo jioni itakuwaje...??

Au siku ukimpa hilo sebene litakuwaje ..?
 
Hajaokoka huyu wala hajui maana ya wokovu iman yake amepeleka wap mungu anachokwa kuombwa
 
we ni jipu
mmeo akusave jipu
Kichaa jipu
Kazini wakusave jipu
Kanisani we ni jipu
wakusave jipu
Jf wew n jipu
comment & thread zako jipu
Namimi nakuita jipu au siyo jamn huyu C ni jipu???????????????????????????!!!!!!!!!
 
Wadau shalom,

Tunaelekea miezi 2 sasa tangu tuamie kwenye nyumba yetu, ni sehemu ambayo bado haijajengwa sana, nyumba nyingi bado hazijaisha ni masaiti yanayokaliwa na walinzi, mimi na mr wote tumeokoka pamoja na familia kwa ujumla, tunampenda Yesu.

Sasa katika moja ya masaiti haya kuna jengo moja halijaisha ni kama halina wakazi vile, ila hukaa kichaa mmoja anaekula majalalani na kushinda uchi, na hapo ndio njia yangu ya kupita kila siku, kila nikipita hapo hasa jioni sana nikitoka kazini huwa namkuta kichaa huyu akiwa anajichua bila aibu, anatema mate mkononi na kujipaka nyeti huku akilia kwa sauti kubwa.

Sasa nimeshtukia nashikwa hamu na hisia kali za kutaka kukutana na kichaa huyo, hasa nikimuona uchi, maana ana nyeti kubwa mno zenye kichwa kikubwa mno, hali hii inaweza kunikuta hata nikiwa kazini endapo nitamuwazia yule kichaa.

Sasa sijui ni kwasababu ya kumtazama sana au la nimeshtuka kumuona akianza tabia ya kuniita kwa ishara na kunioneshea nyeti zake, haishii hapo ameanza kufika na kwangu na kugonga geti, wakienda kufungua wanakuta ni yeye na haongei chochote anasimama tu hapo hata saa nzima ndipo anaenda na ni kila siku, mr anasema muacheni tu kwani ana madhara gani.

Ile hali ya kumtamani ndio naona kama inazidi siku hadi siku.

Je hili ni pepo au nini?Nimeomba sana lakini wapi.

Nifanye nini kuondokana na hali hii? Ili isije ikaleta matatizo yasiyotarajiwa.Nimeamua kulileta huku hili tatizo maana huku hamna kufahamiana.

Asanteni
Laiti angejua..
 
Kuna nguvu za kichawi maeneo hayo, vichaa wakati mwingine inaashiria uwepo wa uchawi.

Kinacho nishangaza kwenye scenerio yako, mwehu anapiga punyeto, ninavyo juwa, mtu akiwa kichaa, hisia za kimapenzi huondoka. Kwa kuwa huyu anagmfanya namna hiyo kuna muingiliano na nguvu za kichawi.

Kwa kuwa kumekuwa na hisia za kimapenzi kati ya ninyi wawili, hivyo tambua haya yanaweza kukutokea.

1. Kuharibika kwa ndoa yako
2. Kuharibu hadhi yako
3. Kuingia kwenye msongo wa mawazo.
4. Kuchanganyikiwa na kuwa kichaa.
5. Inawezekana ikawa chanzo cha kifo chako.

Shetani ameniya mabaya juu yako, chukua hatua.

1. Uwe na muda wa kutosha, wa kuomba angalau saa moja kwa siku, pia uwe na muda wa kufunga na kuomba, kusoma neno.

2. Tafuta mtumishi wa Mungu unaye muamini akusaidie.
 
ipo siku atakuja na Bandiko kuwa Ameitamani ya Punda baada ya kuwaona wakipandana..

Uisome mkuu Eli79
 
Mkwe, unatafuta dawa wakati unayo mkononi? nakushangaa kabisa kwani nakuona kuwa unanyemelewa na pepo la uzinzi hapo. kemea na chukua hatua thabiti za kiroho. hatua zinazotakiwa ni:
1. Jitambue (unawindwa roho yako) ndiyo maana ni kama kichaa anakulenga wewe tu na siyo wengine.
2. Umeshauriwa hapo juu kwama epuka mazingira yale ambayo siamini kuwa masaa yote uyo kichaa kazi yake ni hiyo tu kuchezea nyeti.
3. Jitahidi wakati wa "kula" ukala ukashiba ili hata baadaye usiangukie kutamani "majalalani". Kama huli ukashiba mkwe, jua dirisha hilo hilo litageuka mlango wa uzinzi kwenye ndoa yako. Tena umesema ni miezi miwili tu tangu kuhalalishiwa 'lishe kamili'. take care
5. Usiwe muigizaji church, kwani kuna hatari nyingi sana za uigizaji kanisani - itakugharimu siku moja.
Kwa leo ni hayo tu mkwe, labda kama una swali jingine
 
Yaani unapita na kumkuta anajichua unaanza kumshangaa!!!....angekubaka???....kwanini hukubadili njia???....shetani anataka kukuangamiza....
Na hata akiwa ofisini anamuwaza.Kuna vitu unaavoid tu mwenyewe.
 
nimesoma thiredi yako, then nikaangalia avata yako....jibu nililopata ni hili....shetani yuko kazini.
 
Back
Top Bottom