Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Pepo la ngono, funga kwa maombi.
 
Dawa ni mkuupa tu
 
Mtu mpaka amekuwa kichaa jua huyo pengine ana mapepo yanayompa ukichaa.
Ukithubutu kuzini naye huenda baadhi ya mapepo yakamtoka na kukuingia wewe, Jihadhari mama!
 
Mmmhhh.....shosti we ni mlokole wa kanisa gani? meo ana kibamia pole
 

Wewe una maono makubwa sana.
 
Uzi kama huu bila kapicha ka huyo chizi ni sawa na habari ya kusadikika,unapita hapo kilasiku hivyo unanafasi ya kupata kapicha ka huyo Chizi na kui upload kwenye taarifa yako.....na huo mdushelee tuonyeshe usije ukawa una exaggerate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…