Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu alipofunga siku arobaini alijaribiwa au hakujaribiwa? soma biblia vizuri ndugu.....eti NIMEOKOKA huwa nacheka sana ..
amwambie mxhungaji? ni wa kiume au wa kike kama wa kiume bora ukae hivyo hvyoNenda kamwambie Mchungaji akuombee mwaya,majaribu humfuata alie okoka ili aweze kuanguka..ungekuwa hujaokoka wala hata usingemtamani coz roho wa uzinz ni wako anakuwa anakufanya uende kwa hadhi zako..pole.
Inshallah!, Niairishe....nihairisheHarisha tu mkuu. Angalia usinye tu.
Wewe binti wewe, umeanza matusi siommmh! jamani unamtamani kichaa! sasa wewe mwenzetu "genye" zako zimevuka mipaka hadi mabara ya mbali
Umenichekesha jamani.Huyu member kiboko.
Alifunguwa ID hii ili a post hii thread moja na post moja, hajajibu.
Saa hizi na yeye anabishana kama vile si yeye aliyeandika.
hahahahahahah, kanikera mleta uzi kutamani dudu ya mwehu tehe tehe teheWewe binti wewe, umeanza matusi sio
hahahahahahah, kanikera mleta uzi kutamani dudu ya mwehu tehe tehe tehe[/QUO