Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa


Hapo nilipo highlight red panaonyesha kabisa kwamba, ipo siku UTAMPA.....!
 
Kwa nini hujizuii kuona utupu wa mwenzio? Jizuie kuona hyo kitu ya kichaa then
Huyu anafanya makusudi kupita pale, mana kwa jinsi alivyomuelezea kichaa ni kwamba hakumuangalia kwa kuibia anamuangalia kwa makusudi kabisa mpaka kichaa mwenyewe kagundua na ndomana alidiriki kumfata kwake
 
Ngoja na mimi nianze kuacha nyeti zangu wazi kumbe pana faida yake.

kweli kabisa, haikosi unaweza kupata

lakini angalia usijepata kichaa kama huyu aliyeleta post, itakuwa shida kwako
 
Tumia akili ya akiba iliyobakia kuamua ukishindwa mwombe ushauri mumeo
 
Usiwasikilize hao wengine hawakupendi. Just Fanya kile ambacho moyo unapenda..
Kama unamtamani huyo chizi mtafute kwa wakati wako umuonje maana wanasema raha jipe mwenyewe. Na kama ukiona umenogewa muombe Mr umlete nyumbani uishi nae maana hana madhara huyo ( kama Mr. anavyosema)
Last but not least usisahau kuvaa ndom[emoji12] [emoji12]

Ubavu
 
Dada anatamani jihogo, sasa huyo kichaa anaweza kulitumia hilo dubwasha lake vizuri? Kwa sababu kuwa nalo kubwa na kujua kulitumia ni vitu viwili tofauti

a
mpaka analipigisha nyeto inawezekana anajua kulitumia vyema ..
 
Sijui kama hii story ni kweli au uongo, maana wengine huku wanaweza kuwa wanatuletea tu scenario au casestudies ili tuzi-discuss labda kwa malengo wanayoyajua wenyewe. Anyway, haina ubaya ku-discuss hata kama sio za ukweli maana ni scenario zinazoweza kutokea kwenye jamii zetu hizi...

...mie kwa maoni yangu, haya ni mambo ya hisia za kiwili tu, haukuna cha pepo wala nini maana hata kwenye media zetu hizi (tv, internet, video etc) ukikutana na site kama hii anayozungumzia huyu dada, kama binadamu ni lazima utapata hisia tu hata uwe mlokole kiasi gani jamani.

kwa hiyo cha kufanya hapa ni huyu dada kujiepusha na mazingira hayo kabisa, afanye kila njia asikutane tena na huyo kichaa hata kama kuna uwezekano wa kumshirikisha mumewe ili kumuondoa huyo kichaa hapo afanye hivyo... na kwa siku za baadaye achukue ushauri wa miss chaga hapo juu, aimarisha uhusiano wake wa kimwili na mumewe ili kupunguza hisia hizo...maana kama miss chaga alivyosema inawezekana huko chumbani wanajibana bana kwenye ku-make love kutokana na imani yao.
 
Hata Vichaa nao Wanahitaji Faraja..... Mpende na mpe vitu vya Studio.....
 
umecopy na kupest hii story mpendwa.kwa maana hiyo umedanganya wakati wasema umeokoka
 
Hata Vichaa Wanahitai kugegeda ndio maana wakawekewa Magegedo na yanayofanya kazi..


Utakuwa umeshakuwa na roho mtakatifu ili kumpa Faraja huyo Kichaaa... Nenda katekeleze agizo takatifu .........



Nenda kamtendee Haki huyo Kichaa... Naamini hutajuta kwakuwa umetenda agizo takatifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…