Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Aisee! Naona size ndio tatizo. Lakini kumbuka mumeo akijua hiyo reason utamfedhehesha na kimuathiri kisaikolojia.
Kwa mtazamo wake size ndio tatizo lakini akikaa na mumewe na wakashauriana vizuri namna ya kuridhishana wala size sio ishu.
 
muulize mumeo akushauri huku tutakuzingua tu vuuuuuuuuuuuuuuuuuufyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Hapa NATO na UN wasipo ingilia kati hapa madhara makubwa yanaweza kujitokeza hapo mbeleni!!
 
Ndio maana watu wanawasema walokole vibaya..

Imeandikwa ikimbieni zinaa, Mbona sasa wewe unaikimbilia? .........
 
Nawe jifanye kichaa umfuate kwenye hilo jumba ukampe ili nafsi yako ilidhike

sawasawa...maana naona kama wote ni vichaa mpaka wanafata majumbani lazima kuna kitu tu

yeye azame bandani kwenye kona, apandishe sketi au gauni juu, ainame halafu asikilizie bichwa linavyozama ndani..nje..nadani..nje
 
Hapo jambo la muhimu ni kubadili njia tu na kumuona huyo kichaa kama "takataka" (japo ulokole unafundisha upendo kati yetu).

Katavi jiulize kwa nini kichaa anaenda kwake kugonga geti?

ukiona manyoya.............
 
Wadau shalom

Tunaelekea miezi 2 sasa tangu tuamie kwenye nyumba yetu, ni sehemu ambayo bado haijajengwa sana, nyumba nyingi bado hazijaisha ni masaiti yanayokaliwa na walinzi, mm na mr wote tumeokoka pamoja na familia kwa ujumla, tunampenda yesu

Sasa katika moja ya masaiti haya kuna jengo moja halijaisha ni kama halina wakazi vile, ila hukaa kichaa mmoja anaekula majalalani na kushinda uchi, na hapo ndio njia yangu ya kupita kila siku, kila nikipita hapo hasa jioni sana nikitoka kazini huwa namkuta kichaa huyu akiwa anajichua bila aibu, anatema mate mkononi na kujipaka nyeti huku akilia kwa sauti kubwa

Sasa nimeshtukia nashikwa hamu na hisia kali za kutaka kukutana na kichaa huyo, hasa nikimuona uchi, maana ana nyeti kubwa mno zenye kichwa kikubwa mno, hali hii inaweza kunikuta hata nikiwa kazini endapo nitamuwazia yule kichaa, sasa sijui ni kwa sababu ya kumtazama sana au la nimeshtuka kumuona akianza tabia ya kuniita kwa ishara na kunioneshea nyeti zake, haishii hapo ameanza kufika na kwangu na kugonga geti, wakienda kufungua wanakuta ni yy na haongei chochote anasimama tu hapo hata saa nzima ndipo anaenda na ni kila siku, mr anasema muacheni tu kwani ana madhara gani

Ile hali ya kumtamani ndio naona kama inazidi siku hadi siku

Je hili ni pepo au nn?
Nimeomba sana lakini wapi

Nifanye nn kuondokana na hali hii? Ili isije ikaleta matatizo yasiyotarajiwa?
Nimeamua kulileta huku hili tatizo maana huku hamna kufahamiana

Asanteni
kemea hiyo roho na utubu.
 
Na vichaa wanakuwaga na mboo kama nguzo ya umeme. Mpe tu kuliko kuendelea kuumiza moyo wako.
 
....kuna mama mmoja nae alimtamani kichaa mpiga puchu hivyohivyo....akampelekea....kilichotokea mtaa mzima ulijua....maana kichaa hakukojoa!!! So hakumwachia mama wa watu....mama alivumilia akashindwa ...ikabidi apige ukunga watu wakaenda mtoa....tahadhari kabla ya hatari!!!

tchao.
 
Hivi huyo kichaa atambaka au atampa kwa ridhaa yake ,mtu kashaweka wazi kichaa ana dushe lenye kichwa kikubwa ,kama kapenda kwa kuona kwa macho ataacha kuipenda vipi kikimuingia kwa vitendo ?

Umeokoka??
Walokole wa sasa wanamdhalilisha sana kristo wanawafanya hata watu wengine washindwe kumkiri yesu maana matendo ,yao kauli zao na nyendo zao hazina tofauti na wasio waamini.
Na muda mwingie ni bora wasio amini maana hao wanaojiita walokole mipepo inawarudia mara saba zaidi ni waovu ,wanafiki wanakila aina ya uchafu
Mungu atuhurumie
 
Ilo ni jaribu lako,unatakiwa ulishinde.Satan/devil at work.
 
We dada huko saiti angekuwa amefungwa Punda dume hata kazi sijui kama ungekuwa unafanya maana ingekuwa mafuriko chupini
 
Back
Top Bottom