Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tena somo hasa sijui washikiwe na miguu piaha ha ha...
inatakiwa wapewe somo
oa bwana wengine hatutamanisijui nioe au niache tu maanake tunakoelekea ni kubaya zaid!! sasa kama huyu ameokokaaaa harafu anafikiria hivi!!! dah hii ni hatar!
Tena napendekeza mwalimu uwe ww..tena somo hasa sijui washikiwe na miguu pia
wanilipe lakiniTena napendekeza mwalimu uwe ww..
ahaaaaaaaa lohhuu mwaka natamani sana nioe!, ila ninapokutana na threads kama hizi huwa nachoka na kuregea kabisa. Sijui niarishe tu! kweli naamini TUNAOA KWA IMANI kama tulivyopokea wokovu! lasivyo mbele hatusongi!!!!. Nyeti hazina ukichaa: ukichaa wa mtu ni baadhi ya viungo tu! na wala si viungo vyote vimeathiriwa. inavyoonyesha kama umefuga nguruwe huko kwako basi utakuja kumtamani hata nguruwe kwakuwa ana dudu ndefu!!!!!!
fanya bure si walokolewanilipe lakini
hapana kwa kweli aiseefanya bure si walokole
so utawatoza sh ngapi..?hapana kwa kweli aisee