Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

sijui nioe au niache tu maanake tunakoelekea ni kubaya zaid!! sasa kama huyu ameokokaaaa harafu anafikiria hivi!!! dah hii ni hatar!
 
hili swala watu wengi wamelipelekea kwa shetani kama shetani ndo anawatendesha kwann adhabu mpewe nyinyi..?
 
Thread zingine zinafanya tuliopanga kuoa siku za karibuni tuendelee kusubiri kwanza huenda mola akatujalia moyo wa uvumilivu. Ushauri kwa wanaotaka kuoa hasa wakristu, hakikisha una moyo wa kusamehe hata kama ukimfuma mkeo live uwe na uwezo wa kusamehe. Nahisi asilimia 99 ndo zote zimejaa usaliti.
 
huu mwaka natamani sana nioe!, ila ninapokutana na threads kama hizi huwa nachoka na kuregea kabisa. Sijui niarishe tu! kweli naamini TUNAOA KWA IMANI kama tulivyopokea wokovu! lasivyo mbele hatusongi!!!!. Nyeti hazina ukichaa: ukichaa wa mtu ni baadhi ya viungo tu! na wala si viungo vyote vimeathiriwa. inavyoonyesha kama umefuga nguruwe huko kwako basi utakuja kumtamani hata nguruwe kwakuwa ana dudu ndefu!!!!!!
ahaaaaaaaa loh
 
Hapo jitahidi ukutane nae kimwili na akupe mimba umzae na wewe upate kijana wako like father like son...
 
Moja ya mambo ya msingi sana kuyatambua ktk ndoa ni namna ya kulishana chakula cha wakubwa, mnaandaana hadi unahisi mwili unataka kuwaka moto, mkipeana kwa ufundi, maarifa na ustadi wa haja, hadi raha. Ndoa inahitaji ubunifu wa hali ya juu, unammassage mkeo hadi anaweweseka kwa raha yaan!, sio kushikilia misimamo ya oooh tumeokoka ooooohhhh walokole sijui nin! nin!. Kuna watu hawajui hata namna ya kuchart tu na wenza wao~shida kubwa. Huyo kichaa anaivunja ndoa yako muda si mrefu mkuu, mkwepe, ikatae hiyo hali, hamishia hisia zako kwa mumeo vinginevyo utapotea
 
Back
Top Bottom