Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka kitu kidogoNimeomba clearence certificate polisi ni takriban miezi minne mpaka sasa hivi sijapata.Hili jeshi letu itabidi lijitathmini aisee vitu vidogo kama hivi kweli vinachukua miezi kupatikana.
Ukienda kuwauliza wanakujibu nini??Nimeomba clearence certificate polisi ni takriban miezi minne mpaka sasa hivi sijapata.Hili jeshi letu itabidi lijitathmini aisee vitu vidogo kama hivi kweli vinachukua miezi kupatikana.
TZS 20,000/=Nimeomba clearence certificate polisi ni takriban miezi minne mpaka sasa hivi sijapata.Hili jeshi letu itabidi lijitathmini aisee vitu vidogo kama hivi kweli vinachukua miezi kupatikana.
Fafanua vizuri ili tuelewe changamoto zake.Nimeomba clearence certificate polisi ni takriban miezi minne mpaka sasa hivi sijapata.Hili jeshi letu itabidi lijitathmini aisee vitu vidogo kama hivi kweli vinachukua miezi kupatikana.
Sidhani kama ni sababu ya kitu kidogoTZS 20,000/=
Shida sio polisi ila shida ni hao walioweka matumizi ya hiyo clearance bila ya kuanda miundo mbinu rahisi ya upatikanaji wakeNimeomba clearence certificate polisi ni takriban miezi minne mpaka sasa hivi sijapata.Hili jeshi letu itabidi lijitathmini aisee vitu vidogo kama hivi kweli vinachukua miezi kupatikana.
Baada ya kulipia unatakiwa udownload hizo form then uprint na uzipeleke polisi wakuchukue alama za vidole hapo ndiyo taarifa zako zinapekwa makao makuu ya polisi kukuangalia kama upo clean huwa inachukua kama week kama hakuna jam.walitaka nilipie 10000 nikalipia wakanipa control number ajabu kila nikitrack nakuta bado
yaah nilifanya ivo nilipewa na control number nikaambiwa ikiwa tayar nitaiona baada ya kuingiza izo nambaBaada ya kulipia unatakiwa udownload hizo form then uprint na uzipeleke polisi wakuchukue alama za vidole hapo ndiyo taarifa zako zinapekwa makao makuu ya polisi kukuangalia kama upo clean huwa inachukua kama week kama hakuna jam.
je wewe ulifanya hivyo?
Sidhani kama ni sababu ya kitu kidogo
TZS 20,000, jiongeze bila ya pembeni hupewi! Shikisha mtu hiyo upate fasta. Unataka wenzako waishije????????????????walitaka nilipie 10000 nikalipia wakanipa control number ajabu kila nikitrack nakuta bado
Jamaa wamemgomea miezi mitano sababu ya 20k?TZS 20,000, jiongeze bila ya pembeni hupewi! Shikisha mtu hiyo upate fasta. Unataka wenzako waishije????????????????
Bila kujiongeza hata karne na wanapoteza kabisa hata trace za kwamba uliomba. Mishahara midogo na wanasiasa ndiyo hivyo unadhani wafanyeje wenzako? Unadhani hawapendi kusomesha english medium watoto wao? Hawapendi kuendeza IST??? Siwalaumu kabisa ila ndiyo mtindo wa maishaJamaa wamemgomea miezi mitano sababu ya 20k?