Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Ni kwel aseeHii tabia wanayo sanaa wanawake wa kisukumaa, yaan utafikiri wanaambizana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwel aseeHii tabia wanayo sanaa wanawake wa kisukumaa, yaan utafikiri wanaambizana.
Kutoa ni moyo.. Imagine kawanyima wangapi mpaka akupe wewe [emoji23]simu yangu yenyewe imefungwq rababendi
Hahaha... Mzee, mwanamke ameshakujibu hivyo, mzuka wa kuendelea kumbembeleza unatoka wapi?! Lakini kuna watu wana moyo aiseeWengine huuliza hivo aone kama uko serious...ukimkazia anajaa, unabandua ngozi laini...sio kila demu ni mrahisi....wengine mpaka umzibue makofi ndo unamvua chupi
Mkipewa shida.. Mkinyimwa shida..!![emoji23]Angekua na pesa asingekuja kujilalamisha huku [emoji23]
Nipe maana alikusudia nini huyu mwamba^Nature is full of natural codes; we human, too, speak in codes^ ~ Socrates
Ushakula cha mbavu hapoWiki iliyopita nimebahatika kukutana na mabinti kama watatu, hivi njian kwenye harakati zangu, huku na huku stori za hapa na pale......dakika za mwisho kabisa naomba namba ananiambia sina simu.
[emoji117]
MaMen tunafanyaje katika hilo suala najua tupo wengi[emoji116]
Wiki iliyopita nimebahatika kukutana na mabinti kama watatu, hivi njian kwenye harakati zangu, huku na huku stori za hapa na pale......dakika za mwisho kabisa naomba namba ananiambia sina simu.
[emoji117]
MaMen tunafanyaje katika hilo suala najua tupo wengi[emoji116]
NakubaliUkiwa bahili utaishia kula kwa macho tuu
Kwahiyo kila siku ni mwendo wa kununua simu kama 7 na kutembea nazoUkiwa bahili utaishia kula kwa macho tuu
Mnunulie iPhone 12 pro max..Wiki iliyopita nimebahatika kukutana na mabinti kama watatu, hivi njian kwenye harakati zangu, huku na huku stori za hapa na pale......dakika za mwisho kabisa naomba namba ananiambia sina simu.
[emoji117]
MaMen tunafanyaje katika hilo suala najua tupo wengi[emoji116]
Basi nawe acha kutongoza au kuomba omba namba za simu, utuaache wenye uwezo wa kuhonga iPhone 12 pro maxmaaaaanina natumia kitochi nimpe 12pro
Nafikir n kukosa tu exposure,maeneo mengine cjawah kuyaona haya,Ni kwel asee
Inategemea na speed ya tamaa zako za ngono..idadi inaweza kuzidiKwahiyo kila siku ni mwendo wa kununua simu kama 7 na kutembea nazo
[emoji31][emoji31][emoji31][emoji23][emoji23][emoji23]Basi nawe acha kutongoza au kuomba omba namba za simu, utuaache wenye uwezo wa kuhonga iPhone 12 pro max
[emoji31][emoji31][emoji31][emoji23][emoji23][emoji23]hahaaahaaaBasi nawe acha kutongoza au kuomba omba namba za simu, utuaache wenye uwezo wa kuhonga iPhone 12 pro max