Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Wadau kuna ligi ya kick boxing inandelea Azam Sports, kwa sasa kila Alhamisi kuna mapambano. Alhamisi iliyopita kuna masta mmoja ambaye wanasema ni mkali wa Kung Fu, Shaolin na Gujuluu aliingia kupambana na kijana mdogo, master akagongwa knock out
Ushauri kwa ma-masta wengine aisee watoto ni wakali, unaweza kuwa master kwa maana kuwa una skills nyingi, lakini vijana wakakushinda nguvu, ni vyema wabaki kuwacoach vijana na sio kuingia ulingoni mzee akaaibika.
Honestly sijapenda hata waliomkubalia masta yule aingie ulingoni kupambana na mwanafunzi na mwanafunzi alionekana kuleta heshima lakini baadae akapiga moja master kaenda chini chaliii akasarenda.
Kwa ligi inayoendelea, msiwaweke mamasta tunawashushia heshima, ushindi ni probability.
Ushauri kwa ma-masta wengine aisee watoto ni wakali, unaweza kuwa master kwa maana kuwa una skills nyingi, lakini vijana wakakushinda nguvu, ni vyema wabaki kuwacoach vijana na sio kuingia ulingoni mzee akaaibika.
Honestly sijapenda hata waliomkubalia masta yule aingie ulingoni kupambana na mwanafunzi na mwanafunzi alionekana kuleta heshima lakini baadae akapiga moja master kaenda chini chaliii akasarenda.
Kwa ligi inayoendelea, msiwaweke mamasta tunawashushia heshima, ushindi ni probability.