Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msiba wa Mwai Kibaki wa KenyaHabari wana jf kama kichwa cha bandiko kinavyosimeka tumble kuikoni bendera nusu mlingot?
Tupiako kapicha mkuu sisi akina Thomaso tukuamini na tujiridhishe.Habari wana jf kama kichwa cha bandiko kinavyosomeka kulikoni bendera nusu mlingot?
Muombe mume wa dadaako nauli panda daladala nenda posta kaangalie benderaTupiako kapicha mkuu sisi akina Thomaso tukuamini na tujiridhishe.
Sasa unataka nimueche beki tatu na shamba boy pekee yao?Muombe mume wa dadaako nauli panda daladala nenda posta kaangalie bendera
Unatuzuga tu,ulifikiri ni kitu kizito cha hapa nchiniHabari wana JF kama kichwa cha bandiko kinavyosomeka kulikoni bendera nusu mlingoti?
... nchi iko salama Mkuu; ni ujirani mwema na Kenya tunaomboleza pamoja nao msiba wa Rais wao mstaafu Mwai Kibaki.Habari wana JF kama kichwa cha bandiko kinavyosomeka kulikoni bendera nusu mlingoti?
Mkuu ulisahau kupiga mswaki asubuhi?Muombe mume wa dadaako nauli panda daladala nenda posta kaangalie bendera
... Mkuu ingekuwa kitu kizito cha hapa hata watoto wadogo wangejua maana tv na radio stations zote habari ingekuwa ndio hiyo. Mungu aepushe mbali.Unatuzuga tu,ulifikiri ni kitu kizito cha hapa nchini
Haaaaaaaa,hata Chanel ambazo huwa BAD SIGNAL zingeonesha... Mkuu ingekuwa kitu kizito cha hapa hata watoto wadogo wangejua maana tv na radio stations zote habari ingekuwa ndio hiyo. Mungu aepushe mbali.
Wapi ulishawahi sikia mtu kafa sababu hajapiga mswaki asubuhi?Mkuu ulisahau kupiga mswaki asubuhi?
Ili sofa za dadako zipumzikeSasa unataka nimueche beki tatu na shamba boy pekee yao?