FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Nikweli linavunjwa, lilijengwa walipo limaliza tu likapata nyufa sehemu nya kitako baada ya sehemunitakayo pita reli, walikosana sana na msimamizi wa mradi hata injinia aliyesimamia ujenzi hapo alishafukuzwa.
Wakakubaliana waendelee na kazi nyingine hapo wata parudia.
The cursed projectThis project will not work because of the blood and theft money and mistreatment of Tanzanians.
Sikuweza kupigaPicha iko wapi?
Toka lini umekuwa mhandisi? Kwani shida iko wapi? Mlisema mkiingia ikulu mnabomoa reli madaraja na flyover! Sasa tumeanza kubomoa hilo la kamata mbona tena unachukia? Tar 28 kura zote kwa maguPale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa ( Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika.
Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea?
Kwani ile si reli ya njia moja au? Na treni hupishana kwenye vituo maalum vya kupishanishia treni au?Mimi kwa kuliangalia tu nilihisi lina makosa, niliona kabisa pale treni haziwezi kupishana.
Kazi za ujenzi ni kazi pekee ambazo hata wasio wataalamu wanaweza kukosoa
Walisema akina na nani hadi unijumuishe? Unataka kujua kama mimi ni mhandisi?Toka lini umekuwa mhandisi? Kwani shida iko wapi? Mlisema mkiingia ikulu mnabomoa reli madaraja na flyover! Sasa tumeanza kubomoa hilo la kamata mbona tena unachukia? Tar 28 kura zote kwa magu
Vyote inawezekanaKwani ile si reli ya njia moja au? Na treni hupishana kwenye vituo maalum vya kupishanishia treni au?
Well, kwa design tuliyoambiwa, ni kwamba ile ni reli ya njia moja, na wanapishana kwenye vituo maalum vya kupishana, so hiyo haiwezi kuwa sababu, hawawezi kufanya blunder ya namna hiyo.Vyote inawezekana