wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,143
Nikweli linavunjwa, lilijengwa walipo limaliza tu likapata nyufa sehemu nya kitako baada ya sehemunitakayo pita reli, walikosana sana na msimamizi wa mradi hata injinia aliyesimamia ujenzi hapo alishafukuzwa.Pale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa (Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika.
Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea?
Pale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa (Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika.
Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea?
This project will NEVER work and succeed because of the blood and theft money and mistreatment of Tanzanians.
Kwa kumbukumbu zangu za uhakika kabisa, ule mnara wa kushika waya ulishakamilika, ila wameuondoa ule mnara.Mkuu una uhakika na ukisemacho?! Baada ya kusoma hii thread nimepita pale leo hii. Lile daraja halikuwa limeisha. Ile section ambayo chini ndio magari yanapita kulikuwa na beams sio zege. Na nimepita leo walichoondoa ni zile beams tu. Sijui kwanini ila kilichoondolewa sio zege.
Cc FRANCIS DA DON
‘Cable stayed bridge’ , ni daraja la kushikwa na wayaNi bridges, siyo cable stayed
Halafu ‘beam’ ni horizontal member, ninachozungumzia ni zile ‘cable towers’ ambazo ni vertical components za daraja, ile tower moja ya kushika waya ndio niliona imevunjwaOk, Kesho nenda tena eneo lile lile, pale kwenye beam ya kwanza kati ya mbili zinazobeba daraja, ukitokea station kwa juu,simama upande wa Goldstar na uangalie kwa makini tofauti iliyopo ukilinganisha na sehemu nyingine zilizokwisha jengwa.
KumbeNikweli linavunjwa, lilijengwa walipo limaliza tu likapata nyufa sehemu nya kitako baada ya sehemunitakayo pita reli, walikosana sana na msimamizi wa mradi hata injinia aliyesimamia ujenzi hapo alishafukuzwa.
Wakakubaliana waendelee na kazi nyingine hapo wata parudia.
Sawa, ila pale wametia hasaraEngineering is all about TRY and ERROR ......kitu cha kawaida sana hiko....
Mchawi mwingine huyu hapa kaamua kujitokeza wazi baada ya ramli kushindwaThis project will NEVER work and succeed because of the blood and theft money and mistreatment of Tanzanians.