Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,189
- 6,450
Habarini wadau. Nlikuwa na mizunguko kidogo ya kikazi.Canada,Egypt,Sweden,South Africa na Kenya.
Nipo bongo. Nmesikitika leo kukuta jamaa wanagombana sababu ya tsh 100,000 tu.hii hii ya madafu.jamaa mmoja aliazimwa pesa hiyo sasa mwaka wa pili hajarudisha na namba akachange.leo kakutana na mdai hapa M.City. Ndo ikawa Issue.
Tunakwama sana.100,000 si pesa.si pesa ya kuvunja urafiki.lakini watanzania wengi hawajui maana ya kukopa na kuomba kupewa.
Mwaka jana nlikuwa sehemu na jamaa nmemtoa out.Hotel moja ufukweni. Naye akamwita Girfriend wake mpya amwoneshe yeye matawi.nikalipia bill yangu nikawa naaga. Jamaa akashtuka maana ndo wakati huo huyo dada amekaa tu. Mimi nliona niwaachie nafasi.
Akanambia nimsubiri anisindikize.akanifuata kwenye Jeep na kuomba nimkopeshe tsh 200,000. Atanirudishia.nikavuta draw nikahesabu nikampa.
Mwisho wa mwezi nikamkumbusha jamaa.akaanza kunambia sijui alikuwa na makato mengi na hadithi nyingi sana.nilimwambia hayo sasa yanahusiana nini na pesa yangu.akaanza kucheka cheka na kudai mimi nina pesa nisimdai hiyo 200,000.nlimwambia alikopa which means anapaswa arudishe.
Akakwepa kwepa miezi ikaisha.hakurudisha.juzi nmerudi amekwama.anataka nimkopeshe tsh 1,800,000. Nikamwambia arudishe kwanza ile 200,000. Akapita siku moja ya pili akaniletea ile pesa.
Nilipopokea nikaiwapa walinzi wagawane. Akanambia sasa inakuaje lile ombi lake. Nilimjibu tu sina.
Imekuwa issue ofisini.analalamika sana kuwa nmemfanyia ubaya.ubaya wangu ni upi hapo? Anadai namiliki magari makali lakini nmemnyima mkopo mdogo tu kama huo aongezee kweye kodi.nikashangaa sana.magari ni yangu,pesa ni yangu.sijamdhulumu why anivishe ubaya?
Vijana wa tanzania tunakwama ,tunapoteza imani,tunapoteza uaminifu kwa mambo madogo.tunapenda makuu. Siku ile nimemtoa out yeye.naye anamwita girlfriend wake...huku hana pesa.why?
Nipo bongo. Nmesikitika leo kukuta jamaa wanagombana sababu ya tsh 100,000 tu.hii hii ya madafu.jamaa mmoja aliazimwa pesa hiyo sasa mwaka wa pili hajarudisha na namba akachange.leo kakutana na mdai hapa M.City. Ndo ikawa Issue.
Tunakwama sana.100,000 si pesa.si pesa ya kuvunja urafiki.lakini watanzania wengi hawajui maana ya kukopa na kuomba kupewa.
Mwaka jana nlikuwa sehemu na jamaa nmemtoa out.Hotel moja ufukweni. Naye akamwita Girfriend wake mpya amwoneshe yeye matawi.nikalipia bill yangu nikawa naaga. Jamaa akashtuka maana ndo wakati huo huyo dada amekaa tu. Mimi nliona niwaachie nafasi.
Akanambia nimsubiri anisindikize.akanifuata kwenye Jeep na kuomba nimkopeshe tsh 200,000. Atanirudishia.nikavuta draw nikahesabu nikampa.
Mwisho wa mwezi nikamkumbusha jamaa.akaanza kunambia sijui alikuwa na makato mengi na hadithi nyingi sana.nilimwambia hayo sasa yanahusiana nini na pesa yangu.akaanza kucheka cheka na kudai mimi nina pesa nisimdai hiyo 200,000.nlimwambia alikopa which means anapaswa arudishe.
Akakwepa kwepa miezi ikaisha.hakurudisha.juzi nmerudi amekwama.anataka nimkopeshe tsh 1,800,000. Nikamwambia arudishe kwanza ile 200,000. Akapita siku moja ya pili akaniletea ile pesa.
Nilipopokea nikaiwapa walinzi wagawane. Akanambia sasa inakuaje lile ombi lake. Nilimjibu tu sina.
Imekuwa issue ofisini.analalamika sana kuwa nmemfanyia ubaya.ubaya wangu ni upi hapo? Anadai namiliki magari makali lakini nmemnyima mkopo mdogo tu kama huo aongezee kweye kodi.nikashangaa sana.magari ni yangu,pesa ni yangu.sijamdhulumu why anivishe ubaya?
Vijana wa tanzania tunakwama ,tunapoteza imani,tunapoteza uaminifu kwa mambo madogo.tunapenda makuu. Siku ile nimemtoa out yeye.naye anamwita girlfriend wake...huku hana pesa.why?