Huyu Mzee wa utopolo kawa maarufu kuliko timu yake nimeona video yake akikatiza mitaa ya Dar huku akizomewa na watu wanaosadikiwa kuwa ni wapenzi wa timu mbili kubwa hapa nchini.
Kutokana na usumbufu anaoupata,na kazi ngumu aliyowafanyia utopolo mechi ya ligi,basi msimtelekeze huyu Mzee apewe ulinzi.
Inasemekana rada yake ilimpoteza akajikuta yuko Burundi badala ya Kigoma