Nimeona tofauti ya Pasaka na Eid. Nilikuwa nafanya utafiti

Nimeona tofauti ya Pasaka na Eid. Nilikuwa nafanya utafiti

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Pasaka zote mbili hazikujaza watoto mtaani. Nlijaribu kupitia beaches kadhaa Kigamboni na Mbezi hadi Kunduchi. Watoto wengi walikuwa na wazazi wao na walikuwa wanachungwa sana. Hawapati sana nafasi ya kujiachia. Wapo. Chini ya uangalizi.

Hii si nzuri sana mnawafanya watoto wanakuwa wapole sana na hawawezi kashkash na michanganyiko.

Kwenye Eid..... Watoto wamezagaa sana mitaani mpaka muda huu unakuta kundi kubwa la watoto wadogo bila wazazi wao. Beaches zote za bure watoto wamejaa na wanajimwaya mwaya kwa kujiachia mpaka wakati mwingine naogopa maana wakiwa kwenye maji mabinti naona kabisa kama kuna mambo wanatendewa na vijana wakodisha maboya.

Nimekemea mara kadhaa wanahama wanahamia sehemu ya mbali ambako siwezi fika. Wanafanywa kitu hawa mabinti wadogo wakiwa kwenye maboya. Well, inawasaidia kujifunza kupambana na kutegemea akili zao.

Kuna tofauti kubwa sana katika hizi sikukuu. Wanaosherehekea Eid ni wazi wana watoto wengi na wanawapa uhuru mkubwa watoto washerehekee. Wanaosherehekea Pasaka wanawabana sana watoto wao na hawaoneshi kuwa na watoto wengi. Yaani naona wakizidi sana watatu.

Huu ni mtizamo tu masela msijenge chuki.
 
Pasaka zote mbili hazikujaza watoto mtaani. Nlijaribu kupitia beaches kadhaa Kigamboni na Mbezi hadi Kunduchi. Watoto wengi walikuwa na wazazi wao na walikuwa wanachungwa sana. Hawapati sana nafasi ya kujiachia. Wapo. Chini ya uangalizi.

Hii si nzuri sana mnawafanya watoto wanakuwa wapole sana na hawawezi kashkash na michanganyiko.

Kwenye Eid..... Watoto wamezagaa sana mitaani mpaka muda huu unakuta kundi kubwa la watoto wadogo bila wazazi wao. Beaches zote za bure watoto wamejaa na wanajimwaya mwaya kwa kujiachia mpaka wakati mwingine naogopa maana wakiwa kwenye maji mabinti naona kabisa kama kuna mambo wanatendewa na vijana wakodisha maboya.

Nimekemea mara kadhaa wanahama wanahamia sehemu ya mbali ambako siwezi fika. Wanafanywa kitu hawa mabinti wadogo wakiwa kwenye maboya. Well, inawasaidia kujifunza kupambana na kutegemea akili zao.

Kuna tofauti kubwa sana katika hizi sikukuu. Wanaosherehekea Eid ni wazi wana watoto wengi na wanawapa uhuru mkubwa watoto washerehekee. Wanaosherehekea Pasaka wanawabana sana watoto wao na hawaoneshi kuwa na watoto wengi. Yaani naona wakizidi sana watatu.

Huu ni mtizamo tu masela msijenge chuki.
watoto wengi huwa wanapotea au kubwakwa siku hizi za sikukuu. unampa mtoto pesa nenda mjini katembee, binafsi wakati wa pasaka huwa siwaruhusu watoto wangu waende kokote peke yao, kama tukitoka nawabeba wote naenda nao kwenye hotel au popote, kama ni kwenye michezo yao naenda wanapocheza nawaangalia wanamaliza naondoka nao. ila leo, beach zimejaa, mitaani watoto kibao, na wanaamini wanasherehekea kwasababu na vitoto vivulana ndio navyo wamejichanganya navyo. leo ndio siku guest house zinajaa kila kona, leo ndio siku mabaa yanajaa, na girlfriends wanarudiwa na ni shida tupu leo.
 
Watoto wa uswahllini hao, na wao wanaathirika zaidi...yaani madhara ni mengi kuliko faida ya kuwaachia watoto wadogo wajiachie watakavyo

Kuna ajali za magari na pikipiki, kuna kubakwa au kulawitiwa, kuna kuzama katika maji n.k

Watoto wanahutaji care ya wazazi sio kuachwa kama makapurwa
 
All sikukuu siendagi ppt always home then weekend after sikukuu ni mtoko kwakua mtoko ni ww and not wkt wa matukio cku ukikosa na nisiku ya sikukuu utaumbuka sn.kingine ajali/matatizo mengi Mabaya yanatokea cku hizi za sikukuu mpk over price ya vitu
 
Leo hakukuwa na biashara kabisa k.koo, nimepoteza muda wangu bure.
 
Bila kusahau bajaji na coasters zenye watoto na vijana wanaopiga makelele huku zikipiga muziki mkunwa na speed kali,ni sikukuu hizi.
 
..wakiwa kwenye maji mabinti naona kabisa kama kuna mambo wanatendewa na vijana wakodisha maboya.

Nimekemea mara kadhaa wanahama wanahamia sehemu ya mbali ambako siwezi fika. Wanafanywa kitu hawa mabinti wadogo wakiwa kwenye maboya.
Hao walishazoea na wana ukame wa mwezi mzima, wacha wamwagiliwe kwanza
 
Pasaka zote mbili hazikujaza watoto mtaani. Nlijaribu kupitia beaches kadhaa Kigamboni na Mbezi hadi Kunduchi. Watoto wengi walikuwa na wazazi wao na walikuwa wanachungwa sana. Hawapati sana nafasi ya kujiachia. Wapo. Chini ya uangalizi.

Hii si nzuri sana mnawafanya watoto wanakuwa wapole sana na hawawezi kashkash na michanganyiko.

Kwenye Eid..... Watoto wamezagaa sana mitaani mpaka muda huu unakuta kundi kubwa la watoto wadogo bila wazazi wao. Beaches zote za bure watoto wamejaa na wanajimwaya mwaya kwa kujiachia mpaka wakati mwingine naogopa maana wakiwa kwenye maji mabinti naona kabisa kama kuna mambo wanatendewa na vijana wakodisha maboya.

Nimekemea mara kadhaa wanahama wanahamia sehemu ya mbali ambako siwezi fika. Wanafanywa kitu hawa mabinti wadogo wakiwa kwenye maboya. Well, inawasaidia kujifunza kupambana na kutegemea akili zao.

Kuna tofauti kubwa sana katika hizi sikukuu. Wanaosherehekea Eid ni wazi wana watoto wengi na wanawapa uhuru mkubwa watoto washerehekee. Wanaosherehekea Pasaka wanawabana sana watoto wao na hawaoneshi kuwa na watoto wengi. Yaani naona wakizidi sana watatu.

Huu ni mtizamo tu masela msijenge chuki.
Nadhani hizo ni tabia za waswahili wa pwani.

Mtoto hakai nyumbani labda muda wa kulala. Kutwa nzima mwendo wa kuzurura.

Pia hiyo ni dalili ya umaskini. Maskini na wasiosoma wanazaana sana kuliko wasomi na matajiri.

Kama unazungumzia dar, sehemu za uswahlini kuna nyomi la watu kuliko ushuani

Uswahilini ni kawaida mtu hana kazi maalum ila ana watoto watatu ama wanne na wanaishi chumba kimoja .

Nyumba moja yenye vyumba 4 ina wapangaji 4 ila jumla ya watu wanaoishi humo usishangae wakafika 15 ama 12.

So ina bidi watoto wasukumiwe huko mtaani kucheza maana nyumbani hakuna sehemu ya kuchezea ila kulala tu.

Wakati wa sikukuu, waswahili wa mbagara, tandika, buguruni,kongowe na maeneo ya mkuranga, temeke watajazana beachi za kigamboni wakati waswahili wa tandale, manzese, mwananyamala, kawe na magomeni watajazana coco.
 
Back
Top Bottom