Nimeonja uchungu wa mauti ndotoni - Je, nini maana ya hii Ndoto?

Nimeonja uchungu wa mauti ndotoni - Je, nini maana ya hii Ndoto?

James Hungury

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2013
Posts
825
Reaction score
612
Habari WanaJF,

Siku chache zilizopita niliota nimepigwa risasi,na hakika nikaiona mauti, na hata nilipoamka baada ya ndoto, nilikuwa nikiyajua maumivu ya mauti yalivyo.

Suala hili mpaka sasa linanitesa, najua wengi mlishawah kuota mmekufa, lakini je, maumivu ya mauti.. Yaani kukata roho mliyajua yalivyo?

Je, mnaweza kuyaelezea yalivyo? Kwangu mimi niliyaona na ninayajua maumivu ya mauti.

Nisiwachoshe, naomba mnisaidie nini maana ya ndoto hii?.


Sad Update
Baada ya mda kupita,nikiwa nimeota ndoto hii,
Niliachana na mke wangu,and it was very painful in myheart and mysoul..kwa wale mliofatilia thread zangu nilizopost nikiwa south africa,nadhan mtakuwa mnafaham kilichotokea.
Bt thankx to God in all.msidharau ndoto
 
Ndugu nikushauri tu umuombe MUNGU akusaidie kama kuna jambo baya litakuwa linataka kukujia wewe au wa karibu yako akuepushie maana ndoto huwa ni kumbukumbu ya mambo uliyofanya sana au kufikiri kabla ya kulala lakini pia ndoto hutoa taarifa ya yanayokuja so kama ni jambo lililokufanya uamke ukiwa na maumivu ni vema ukajitahidi kumuomba Mungu akusaidie!
 
Habari WanaJF,

Siku chache zilizopita niliota nimepigwa risasi,na hakika nikaiona mauti, na hata nilipoamka baada ya ndoto, nilikuwa nikiyajua maumivu ya mauti yalivyo.

Suala hili mpaka sasa linanitesa, najua wengi mlishawah kuota mmekufa, lakini je, maumivu ya mauti.. Yaani kukata roho mliyajua yalivyo?

Je, mnaweza kuyaelezea yalivyo? Kwangu mimi niliyaona na ninayajua maumivu ya mauti.

Nisiwachoshe, naomba mnisaidie nini maana ya ndoto hii?.

Hayo maumivu uliyoyaonja yapoje??.
 
Habari WanaJF,

Siku chache zilizopita niliota nimepigwa risasi,na hakika nikaiona mauti, na hata nilipoamka baada ya ndoto, nilikuwa nikiyajua maumivu ya mauti yalivyo.

Suala hili mpaka sasa linanitesa, najua wengi mlishawah kuota mmekufa, lakini je, maumivu ya mauti.. Yaani kukata roho mliyajua yalivyo?

Je, mnaweza kuyaelezea yalivyo? Kwangu mimi niliyaona na ninayajua maumivu ya mauti.

Nisiwachoshe, naomba mnisaidie nini maana ya ndoto hii?.

samhani kwani wewe unahisi uko kwenye mazingira ambayo unaweza pigwa risasi,labda kwa mfano Mungu amekubariki una uwezo?au ni askari ?Chochote kinaweza tokea usijekuta tunaelekea kwenye uchaguzi ukapigwa risasi kwenye mambo ya kampeni.
Usihofu ndoto hutumika wakati mwingine kukufahamisha juu ya mambo yanayokuja,sasa cha kufanya ni kutubu kwanza then nenda mbele ya Mungu aliye hai umwombe hiyo ndoto isitokee.Incase ulikuwa hujui mambo yote huanzi katika ulimwengu huo usioonekana(ulimwengu wa roho) na baadaye hutokea.Ikiwezekana funga na kuomba,maombi ya usiku wa manane for 7days.Na usiache kumwomba Mungu kama jibu hujapata,omba akuambie maana ya hiyo ndoto ni nini.
Niliota kitu ,sikujua kuzuia kikatokea.
Kama jina lako lilivyo investigate it in the spiritial world
 
Habari WanaJF,

Siku chache zilizopita niliota nimepigwa risasi,na hakika nikaiona mauti, na hata nilipoamka baada ya ndoto, nilikuwa nikiyajua maumivu ya mauti yalivyo.

Suala hili mpaka sasa linanitesa, najua wengi mlishawah kuota mmekufa, lakini je, maumivu ya mauti.. Yaani kukata roho mliyajua yalivyo?

Je, mnaweza kuyaelezea yalivyo? Kwangu mimi niliyaona na ninayajua maumivu ya mauti.

Nisiwachoshe, naomba mnisaidie nini maana ya ndoto hii?.

Umekoswakoswa ilikuwa uondoke, ndoto ya kawaida usingekumbuka maumivu baada ya kuzinduka
 
omba sana Mungu akuepushe na roho ya mauti
 
Kuota kufa au kumuotea mtu yyte amekufa inamana amekufa kiibada na hayo maumivu ni ishara ya tabu anayoipata mtu alieacha ibada kifo chake kikawa hvyo...
Nakushauri mrudie Mungu acha maasi..tubia makosa yako..
na kama uliwahi kutenda dhambi ya kushiriki ktk utoaji wa mimba kwa njia moja au nyingne tubia sana ndgu
Hiyo ndo elim ndogo ya ndoto nilionayo
 
Ndugu zangu,ahsante kwa comment zenu,lakin naomba niwambie tena leo nimeota nikiwa nataka kufa baharin wakat naogelea,na ndoto ilikuwa kama hivi,nimeonekana niko naogelea baharin,baadae nilizama chini,yaan kama ukiwa mwogeleaj kuna namna ile ya kuzama ndan ya maji nakutoka,sasa nilipozama wakat wa kuibuka nikashindwa,na hapo nikaona pumzi inaanza kukata na kama uhai kupotea,nikiwa ktk hal ya kutapatapa kuogoa nisikate roho nikaja kupata pumzi nikiwa kitandani.lakin hali ya umaut nikiwa nimeiona.naomba wataalam mnisaidie kwa ushaur tafadhar
 
Hbr wana jf,nawasalim nyote ndugu zangu.
Nimetokea kwenye jukwaa hili kueleza jambo.
Siku chache zilizopita nilipost hapa jamii interrigent nikieleza juu ya ndoto ambayo niliota.katk ndoto hiyo niliota nikiwa mahali kama sehem ya vita,na nikiwa natafuta mahali pa kwenda(yaan mahali pa aman),nikiwa barabaran nilikuwa nasikia milindimo ya risas,hali ilyonifanya nitafte sehem nijifiche kuokoa maisha,lakin wakat nakimbia nilishtukia nikiwa nimepigwa risas na papo hapo nikaanguka chini,maumivu ya risas na uchungu wa kukata roho yote niliyapata na nikiyasikia.mpaka sasa nayakumbuka na kuanzia hapo nilijua namna gan mwanadam anavyokata roho.basi wakat nataka kukata roho na nikiwa kwenye maumiv gafla nilishtuka ktandan.
Basi,kitu kinachonifanya nirud tena ni kwamba leo nimeota tena ndoto ambayo inanionesha nikiwa naogelea baharin.lakin ktk hal ya kuogelea nilizama chini lakn kuibuka nilishndwa kabsa,na hapo nikaona pumz ktoweka na kuis roho kuucha mwili,na nikiwa ktk khar ya kukata roho niliamka.
Tafadhar nishaur
 
Mbona hujasema ulichukua hatua gani baada ya kushauriwa??
Unasumbuliwa na roho ya mauti, Mungu anakupenda sana fanya toba ya kweli,kimbilia kanisa la kiroho seek spiritual counselling
 
Mbona hujasema ulichukua hatua gani baada ya kushauriwa??
Unasumbuliwa na roho ya mauti, Mungu anakupenda sana fanya toba ya kweli,kimbilia kanisa la kiroho seek spiritual counselling

nilitubu na nimeikita iman yangu zaid kwenye maombi
 
Ndugu zangu,ahsante kwa comment zenu,lakin naomba niwambie tena leo nimeota nikiwa nataka kufa baharin wakat naogelea,na ndoto ilikuwa kama hivi,nimeonekana niko naogelea baharin,baadae nilizama chini,yaan kama ukiwa mwogeleaj kuna namna ile ya kuzama ndan ya maji nakutoka,sasa nilipozama wakat wa kuibuka nikashindwa,na hapo nikaona pumzi inaanza kukata na kama uhai kupotea,nikiwa ktk hal ya kutapatapa kuogoa nisikate roho nikaja kupata pumzi nikiwa kitandani.lakin hali ya umaut nikiwa nimeiona.naomba wataalam mnisaidie kwa ushaur tafadhar
kwakifupi wanataka kukuchukua sasa ukiwa unaomba pingana na mauti, hizo ni dalili za kuchukuliwa msukule au na majini omba sana Mungu akunusuru na mauti ya kishetani
 
Habari WanaJF,

Siku chache zilizopita niliota nimepigwa risasi,na hakika nikaiona mauti, na hata nilipoamka baada ya ndoto, nilikuwa nikiyajua maumivu ya mauti yalivyo.

Suala hili mpaka sasa linanitesa, najua wengi mlishawah kuota mmekufa, lakini je, maumivu ya mauti.. Yaani kukata roho mliyajua yalivyo?

Je, mnaweza kuyaelezea yalivyo? Kwangu mimi niliyaona na ninayajua maumivu ya mauti.

Nisiwachoshe, naomba mnisaidie nini maana ya ndoto hii?.

Had sasa wew hujaweza kutuelezea hayo maumivu yalivo halafu wataka tukueleze sisi yalivo
 
samhani kwani wewe unahisi uko kwenye mazingira ambayo unaweza pigwa risasi,labda kwa mfano Mungu amekubariki una uwezo?au ni askari ?Chochote kinaweza tokea usijekuta tunaelekea kwenye uchaguzi ukapigwa risasi kwenye mambo ya kampeni.
Usihofu ndoto hutumika wakati mwingine kukufahamisha juu ya mambo yanayokuja,sasa cha kufanya ni kutubu kwanza then nenda mbele ya Mungu aliye hai umwombe hiyo ndoto isitokee.Incase ulikuwa hujui mambo yote huanzi katika ulimwengu huo usioonekana(ulimwengu wa roho) na baadaye hutokea.Ikiwezekana funga na kuomba,maombi ya usiku wa manane for 7days.Na usiache kumwomba Mungu kama jibu hujapata,omba akuambie maana ya hiyo ndoto ni nini.
Niliota kitu ,sikujua kuzuia kikatokea.
Kama jina lako lilivyo investigate it in the spiritial world

umesema vyema
 
Back
Top Bottom