mwibamwiba
Senior Member
- May 22, 2015
- 150
- 38
hakuna ataekuelewa mpaka tulioyapitia hayo,kwakuunga mkono tu maumivu ya risasi mtu ayapatao na hasa anaekupiga ukimjua utamuogopa sana ukiamka maana risasi inauma hakuna mfano,hakuna ataekuelewa ila umebeba mengi maana tayari wewe ni sehemu ya mlinzi wa d...iliandikwa mtabatizwa kwa moto ...narudia hakuna ataekuelewa mpaka walioyapitia niliwahi kuuliza humu huenda secret service wanawasiliana kwa ndoto?sikupata jibu wala kueleweka ila tambua wengi wameshaota na kuhisi maumivu ya risasi pia niliwahi kuandika huenda kuna watu wameishaiona nuru na wanaishi kama ilivyoandikwa wapo wataouona ufalme wa Mungu sikueleweka hapo ndio upate picha kwanini wayahudi huwasiliana kwa namna isioeleweka