Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Ikiwa majira ya saa mbili na dakika ishirini katika mfumo wa saa ishirini na nne.
ghafla kandoto kananijia naona mafuriko makubwa yakihama upande mmoja na kuelekea upande mwingine.
ghafla namuona mchungaji anakusanya ng'ombe,mbuzi na kondoo wake na kuwapeleka kule mafuriko yanakoelekea.
ghafla mchunga kondoo anamfata mlima majani na kumwambia "SIKU ZOTE NG'OMBE HULA MAJANI YALOTUNZWA NA MKULIMA,ILA NYUMBU HUWAKIMBILIA PUNDA MLIA ILI WAMUONYESHE NJIA ILIPO"
Ghafla naona watu makundi kwa makundi wakimbia mlima majani kwa kudai kuwa ameshindwa kulima majani kwa ajili ya mifugo yake na badala yake analima miba.
MSAADA=wajuzi wa ndoto nitafsirieni.
ghafla kandoto kananijia naona mafuriko makubwa yakihama upande mmoja na kuelekea upande mwingine.
ghafla namuona mchungaji anakusanya ng'ombe,mbuzi na kondoo wake na kuwapeleka kule mafuriko yanakoelekea.
ghafla mchunga kondoo anamfata mlima majani na kumwambia "SIKU ZOTE NG'OMBE HULA MAJANI YALOTUNZWA NA MKULIMA,ILA NYUMBU HUWAKIMBILIA PUNDA MLIA ILI WAMUONYESHE NJIA ILIPO"
Ghafla naona watu makundi kwa makundi wakimbia mlima majani kwa kudai kuwa ameshindwa kulima majani kwa ajili ya mifugo yake na badala yake analima miba.
MSAADA=wajuzi wa ndoto nitafsirieni.