Nimeota anayeonekana kwa picha ya profile yangu kaukwaaa

kaseva

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2016
Posts
473
Reaction score
305
Ndoto itatimia? Maana nimekuwa nikimkubali kweli jamaa
 
Hata mimi namkubali sana huyu jamaa, kulilo yule mama
 
Kwa jinsi Mjaluo anahangika wiki hii ya mwisho wa kampeni, yawezekana kanusa hatari Republican waweza chukua. Maana Obama kageuka na kuwa kama wanasiasa wa Afrika!!
 
Nilijua kutabiri mazeee
Tiririkeni mniuleze tarehe za kufa kwenu mjiandae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…