Nimeota Man Utd ametolewa kwenye UEFA

Kuna siku niliwaambia washabiki wenzangu wa Man U kule kwenye uzi wetu kuwa Jose Mourinho ni kikwazo kwa timu kusonga mbele walinijia juu sana.
 
Ndio nimeamka mida hii, ila usingizi wangu ulikuwa wa mang'amung'amu sana, nimeota Man utd ikiwa imetoa sare ya 2-2 dhidi ya Sevilla huku mpira ukiwa umeisha na wachezaji wa Sevilla wakiongozwa na Banega wakishangilia uwanja mzima wa Old traford.
Kwi! Kwi! Kwi!
 
Wewe!
Rudi kule, kalale tena urwkebishe lindoto lako haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…