Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante nashukuruPole sana!
Tubu na omba rehema.
Hilo ni pepo la kifo au huitwa jini maiti linaandaliwa.
Anza kwenda kanisani, shiriki ibada zote, namaanisha zile za katikati ya week sio jpili tu.
Toa sadaka ya kuvunja madhabahu, then anza kutoa 10% @ month
Shiriki ibada za usiku/mkesha.
Kila mwezi uwe unafunga sio chini ya siku 3
Acha uzwazwa. Kwanini hukumuuliza yeye atakufa lini? Bado mnaamini hawa mashetani na wachunaji aka wahubiri wa kutenda miujiza isiiyokuwapo isipokuwa kuwaibia mazwazwa waliokata tamaa?Leo usiku wa saa 8 NIMEOTA NDOTO mtu ambae ni mganga akiniambia kuwa soon nitafariki
Sababu ni kuwa watu wanaoniroga wamejua kuwa najua kuwa wanaoniroga so wanafanya juu chini wanizime mapema
Mkuu kipengele cha sadaka naona umekielezea kwa uzito wake na Asilimia juuPole sana!
Tubu na omba rehema.
Hilo ni pepo la kifo au huitwa jini maiti linaandaliwa.
Anza kwenda kanisani, shiriki ibada zote, namaanisha zile za katikati ya week sio jpili tu.
Toa sadaka ya kuvunja madhabahu, then anza kutoa 10% @ month
Shiriki ibada za usiku/mkesha.
Kila mwezi uwe unafunga sio chini ya siku 3
UTAKUFA KWELILeo usiku wa saa 8 NIMEOTA NDOTO mtu ambae ni mganga akiniambia kuwa soon nitafariki
Sababu ni kuwa watu wanaoniroga wamejua kuwa najua kuwa wanaoniroga so wanafanya juu chini wanizime mapema
Tafuta mchungaji mzuri na uwe na namba yake, wale wachungaji wanaotoa pepo. Mara nyingi makanisa yao ni ya Kilokole.Asante nashukuru
Usipomuomba Mungu sana,utakufa kweliLeo usiku wa saa 8 NIMEOTA NDOTO mtu ambae ni mganga akiniambia kuwa soon nitafariki
Sababu ni kuwa watu wanaoniroga wamejua kuwa najua kuwa wanaoniroga so wanafanya juu chini wanizime mapema
Unajua kwanini?Mkuu kipengele cha sadaka naona umekielezea kwa uzito wake na Asilimia juu
Ushuzi mtupu umeshauri.Pole sana!
Tubu na omba rehema.
Hilo ni pepo la kifo au huitwa jini maiti linaandaliwa.
Anza kwenda kanisani, shiriki ibada zote, namaanisha zile za katikati ya week sio jpili tu.
Toa sadaka ya kuvunja madhabahu, then anza kutoa 10% @ month
Shiriki ibada za usiku/mkesha.
Kila mwezi uwe unafunga sio chini ya siku 3
Akifuata huu ushauri wa matapeli ya kilokole atakufa mapema zaidi kuliko muda uliotabiriwa na mganga.Mkuu kipengele cha sadaka naona umekielezea kwa uzito wake na Asilimia juu
Mtu wako wa karibu ,rafiki au Ndugu ,atakufa hivi karibuni.Leo usiku wa saa 8 NIMEOTA NDOTO mtu ambae ni mganga akiniambia kuwa soon nitafariki
Sababu ni kuwa watu wanaoniroga wamejua kuwa najua kuwa wanaoniroga so wanafanya juu chini wanizime mapema
Yes,Leo usiku wa saa 8 NIMEOTA NDOTO mtu ambae ni mganga akiniambia kuwa soon nitafariki
Sababu ni kuwa watu wanaoniroga wamejua kuwa najua kuwa wanaoniroga so wanafanya juu chini wanizime mapema
Hatakiwi kulegeza kamba kabisa, hii situation matokeo yake ni baada ya siku 300 - 365Yes,
that is an arlet for you to wake up,
hiyo ni Roho ya mauti inakuzonga wewe, familia na ukoo wako wote.
ni muhimu sana kujikita katika sala, maombi na maombezi, kukemea pepo na roho hiyo ya mauti kukuzengea zengea,
.
Ukizembea Likakushinda nguvu, and you will be no more my friend.
Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana nawe daima,
Aimen 🙏